pole sana bro, ila chakukushaur uclipe kisasi, we achana nae kabisa, inaonyesha ni jinc gan huyo mschana acvyokuwa hata na tone la huruma, m2 uko kwenye msba alaf tena yeye anakutumia sms yakuachana nae, kwa nn acngekusubiria ukamaliza msiba then ndio akuambie ujinga wke, temana nae, Omba Mungu...