Wewe unasoma kwa mihemko ila husomi kuelewa intention ya mwandishi. Rudia kusoma uelewe ututolee ujinga wako. Wewe ni miongoni mwa walengwa mnaopaswa elewa hii mada ila kushupaza tu shingo, ptuuuh.
Sasa mbona kama umelia sana kwenye kujieleza, ilikuwa inatosha kusema huvutiwi na wanawake wanene ungeeleweka na siyo kutumia lugha uliyotumia. Wapo wenzio wenye kuvutiwa na hao unaotumia lugha chafu kuwaelelzea. Jitahidi kuficha wehu wako unapocomment hapa JF (umbwa wa head)
Umenena vema, swala ni uwajibikaji na nani anamuwajibisha mwingine. Hii nchi hatuko serious kabisa, sasa effort zote za kuweka mwendokasi matunda yake yanakuwa ktk mtindo huu? Ni kama watu ili wapate kuwajibika wanataka washikiwe mitutu, upuuzi mtupu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.