Duuh tuache ujinga,4U movement pengine hata lowasa haijui kama ipo na kama inamsapot maana angejua angesema stop stak mnuharibie,bt 4U movement ni movement wala haipo kwa ajili ya lowsa bali tu unamsapot Lowasa,Wapo Only Lowasa pia,nao ni kundi hata lowasa halijui bt wanamsapot lowasa,usijiumize...
Acha fikra potofu chuma ulete ni pesa zinakua ninapotea tu mala umeweka laki mbili unakuta laki moja,bt mm nina matumiz mabovu tu pesa inaisha naiona So ni matumiz mabaya tu bt kwakua napata elimu hapa ya kusave aisee nimefunguka na itanisaidia
Mkuu sina matumizi ya maana mengi ni kula na kununua nguo pia kutoa tu hela kumpa mtu kirahisi rahisi sijawahi kusema sina hela na huwa nashangaa sana mtu unaenda kumuazima mtu hela unashangaa anasema aisee sina,mm hicho kitu hakipo natoa pesa kirahisi sana na natumia bila mpangilio naweza siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.