Unapolaani uzao inabidi unaanza na Lango la familia au ukoo
Sasa Kanaani ndo alikuwa Mzaliwa wa kwanza wa Hamu
Na Wazaliwa wa kwanza wa viumbe ndio milango ya Familia au Ukoo
AROON haha akili yako unaijua mwenyewe.
Ila hebu wakristu tuambieni kitu hapa.
Muabudu sanamu wa kwanza rasmi alikuwa Musa aliyetengeneza Nyoka la shaba akaliweka kwenye mti si ndio. akasema ameambiwa na Mungu watu walitazame wapone ? Sisi saizi hatuambiwi sijui kwanini hahaha
Halafu akafuatia...
Mhhh! sijui kipi huelewi mkuu.
Shetani ni title aliyoipata yule malaika baada ya kuasi na title nyingine nying.
Malaika aliumba malaika na walikuwa wema na kumtii Mungu ila alipoasi akabeba hyo jina unasema.
Mtu haitwi mwizi mpaka pale ambapo amefanya vitu vitakavyompelekea mtu huyo kuitwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.