Recent content by newton.newton

  1. N

    Bungeni: Kamati yapendekeza 'siwa' mpya.

    waacheni wahangaike hapo dodoma wakimaliza watatuambia, maana wengine wamepeleka njaa zao kule
  2. N

    Csee 2013 examination results ranking & division

    A: 75-100, B+:60-74, B:50-59, C:40-49, D:30-39, E:20-29 na F:0-19 kwa sasa A:80-100, B:65-79, C:50-64, D:35-49 na F: 0-34 kwa zamani
  3. N

    Utamjuaje mke mwema?

    Utampateje mke anayekufaa maishani mwako??
  4. N

    KUFURU: Posho Bunge la Katiba ni sh 700,000 kwa siku!

    Yani hii ni hatari kwa usalama wa uchumi wa nchi asee. Nenda mashuleni watoto wanasomea chini ya miti wamekalia mawe, mahosipitalini kitanda kimoja wawili wengine kulala chini, leo hii tunaendekeza anasa namna hii. Duniani hakuna haki kwa kweli, haki ipo kwa Mungu peke yake. Na siku ya kuondoka...
  5. N

    Ndesamburo - Msiache kula pesa za CCM

    kula pesa wewe ukiona hii misisiemu inakuletea pesa we kula na mimi nawavizia wakizileta tu nazitafuna na kura siwapi hadi takukuru wanashindwa kulishughulikia hili asee
  6. N

    Tundu Lissu asema kuwa Mbowe hana shahada ya chuo kikuu

    katiba ya nchi inasema kuwa ili mtu aweze kugombea ubunge ni lazima awe na angalau elimu ya kidato cha nne, sasa mbowe ana zaidi ya kidato cha nne na ni mbunge na amepata fursa ya kupata nafasi ya uwenyekiti ndani ya chama sasa mnataka kusemaje hapo, lakini mim ningeshauri mbunge hadi waziri na...
  7. N

    Hivi nyie wanawake mbona mnapenda/mnatamani sana kuolewa?

    utachakaa sana na mfano ninao kuna mmoja ana 29 amechoka, na sipati picha hiyo nani hii itakuwaje maana nahisi itakuwaimeota mvi sasa
  8. N

    Unaambiwa hawa ndio watu 10 wenye nguvu Tanzania

    hebu weka bayana bana nguvu za kufanya nin - kupasua mawe au...............................
  9. N

    Mhe.Tundu Lissu ndani ITV

    Mwacheni TUNDU adadavue ukweli wewe utaendaje mjengoni kule kama ngeli haipandi bana unatuabisha, wakati mwingine tutakutana na mataifa mbalimbali utazungumza kiswahili chako na kiswangish nani ataelewa, kiingereza kiwe kigezo mojawapo wasituletee aibu hapa
  10. N

    Ni sahihi chama kingine kukiponda chama kingine mbele ya wananchi badala ya kutoa sera?

    Nauliza wajameni maana hili huwa naliona sana, kuna kamtindo ka chama fulani kukiponda chama fulani badala ya kueneza sera kwa wananchi wake na jinsi ya kuleta maendeleo, hii imekaaje asee??
Back
Top Bottom