Mkya
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 667
- 94
Jana kwenye mkutano wa hathara sombetini shuleni mwenyekiti wa uvccm Arusha mjini alimtaka mbunge lema kabla ya kuwashawishi wanasombetini kumchagua bananga akatekeleze ahadi alizotoa Shule ya Korona baada ya kuvunjasheria na kuamuru ifungwe
Mwenyekiti huyo aliendambali pale alipo waambia wanasombetini kama wakimwoshe jambo lolote alilolifanya mbunge lakimaendeleo kata ya sombetini ajitokeze mtu mmoja aseme yeye atajiuzulu nafasi yake hapo hapo
Mwenyekiti huyo aliendambali pale alipo waambia wanasombetini kama wakimwoshe jambo lolote alilolifanya mbunge lakimaendeleo kata ya sombetini ajitokeze mtu mmoja aseme yeye atajiuzulu nafasi yake hapo hapo