Huwa naruka kamba mara 200-300 asubuhi na jioni halafu jioni nakula matunda tu. Kama na wewe una uzito mkubwa hii ni njia nzuri sana kupunguza uzito@majigo
Habari za asubuhi wapendwa, nilikuwa mnene japo siyo sana nikagundua kuwa uzito wangu hauendani na utefu wangu ndipo nikaanza kujipunguza na sasa uzito wangu ni wa kawaida ila cha kushangaza mikono haijapungua hata kidogo.
Naomba msaada wenu kama kuna ninachoweza kufanya ili unene wa mikono...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.