Kwa distance reli ya kwenda Rwanda haiwezi kutoka Kigoma. Hiyo ya Uvinza-Malagarasi-Musongazi itakuwa imekusudia Burundi/DRC. Rusahunga iko karibu na Isaka-Rusumo (SGR Tabora-Mwanza) na Uganda kuunganisha kutoka Rusahunga ni wazo sahihi. Shida ni hii - tuna mipango mingi na mizuri lakini...
Ninakuelewa. Nina masikitiko makubwa sana kuhusiana na Isaka. Imepita miaka 20 toka nishiriki katika mchakato wa reli kutoka Isaka kwenda Rusumo. Lakini kama kuna mazungumzo kuhusu Rusahunga-Murongo, hii ni habari njema. Maana yake Isaka-Rusumo iko katika mpango. Sasa naweza kwenda kwetu Murongo...
Mkuu, kuna dhana hii “start with the end in mind”. End game ni hii, Lissu kushinda kesi kwa sababu ya kukosa haki ya kupata vielelezo kutoka upande wa mashtaka na kutoweza kufanya cross-examination. Kwa hiyo utetezi wake utaleta mashaka katika shauri zima kwa sababu hizo na mashaka hayo...
Mkuu, Boston Consulting Group Growth Share Matrx ina Cash Cow, Star, Question na Dog stages. Kila mwekezaji anataka hiyo cash cow kwa sababu market share ni kubwa kuna kiasi kidogo cha investment katika marketing. Hawa wawekezaji wako sahihi katika kiwekeza kwenye miradi iliyoiva - wanapata...
Sijaelewa mlalamikaji kama anataka vituo vya mafuta viwe nje ya miji au analalamikia vituo kuwa karibu. Au hata anasema mabadiliko ya hati ya matumizi hayaruhusiwi.
Analalamika zaidi kama vile hataki ushindani kuliko kuonesha taratibu hazikufuatwa!!
Kujifunza kuchukua pesa za serikali kumpatia mtu? Ninaona kula lawama kwa Chadema, au kwa kuwa hawatangazi wanachofanya kwa Jay?? Ni kweli unataka Chadema ichangie taasisi binafsi ya Jay? Vipi na taasisi nyingine za watu wengine? Nazo pia wachangie? Watafute nyumba upanga halafu walipoe pango...
Swali zuri kwa sababu naona jamaa kaelezea maana tu ya jambo zima bila kufananua faida za credit yenyewe.
Kiasi cha gesi ukaa kinachonyonywa na misitu kitapewa thamani ya kifedha na fedha hizo hazitakuwa fedha za kukabidhiwa serikali bali credit kwa bidhaa za nishati zinazozalisha gesi ya ukaa...
Huo ndio ukweli!! Safari, makongamano, warsha, mafunzo ndio vyanzo vikuu vya matumizi makubwa ya serikali.
Hatujaweza kuthibiti matumizi, na ikiendelea hivi - hakutakuwa na mapato yatakayoweza kutuletea maendeleo!!!
Sini ilitumika kama hadaa toka mkoloni anajiandaa kutukalia. Itaendelea kutumika kwa hadaa na watu wanaotafuta public sympathy!
Tukumbushane! Wakati wa mambo ya bandari - viongozi wa dini waliambiwa siasa na siasa zisichanganywe! Leo ni hao viongozi wa dini wakitumika kuombea shughuli za...
Kwani hakuna idadi ya juu kabisa ya kujisahihisha halafu tukasema basi? Au ni saba mara sabini? Nisiambiwe hapo nimechanganya siasa na dini!!
Ukweli ni huu - imeshaonekana wazi hata tunapopigwa hakuna anayeadhibiwa, watu wetu wenyewe wameweka mikataba yenye masharti dhaifu ili kutengeneza...
Kwani jamaa ndio karudishwa kazini? Hivi vijana wengine uhovyo wa kiwango hiko mnaupata wapi? Unarukia jambo nusu katika kutaka kuelezea jingine kwa ukamilifu. Kwa akili yako unaona hili linafanana hata na kesi ya Mbowe?? Unaona Yona na Mramba waliopotezea 232B ni sawa wakahukumiwa kifungo cha...
Mkuu, uko na kiwango cha kutojua na kujipendekeza cha kiwango cha juu sana!! Katika hali ya kawaida kabisa, unawezaje kulinganisha embe na chungwa na kusema moja ji tamu kuliko lingine?? Nilidhani ungekuwa na ufahamu na ukalinganisha embe ya Tabora na ya Morogoro, kwa mfano! Kwq mantiki...
Unafiki wa serikali ndio chanzo cha matatizo! Inakubali uwepo wa dini mbali na hata kufikia kuzisajiri. Inazitumia katika maendeleo ya jamii. Inazitumia katika chaguzi. Serikali inatumia “muogopeni Mungu”. Inaita hata viongozi wa dini katika shughuli zake. Dini nazo zinaita viingozi wa serikali...
Ni kama ukienda kucheza miaka mitatu SAUTI. Walipoenda walienda kama TEC, BAKWATA na CCT. Hawakwenda kama taasisi moja bali tatu. Unatarajia kwa utofauti wao pia watoe maoni yao kwa njia moja, wakati mmoja, namna moja?? Huku wakiwa hawana ushawishi wa aina moja, msukumo mmoja na ujasiri wa aina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.