Recent content by newbeliever

  1. N

    Msusi wa dreads anahitajika Mwanza

    Bado anahitajika
  2. N

    Msusi wa dreads anahitajika Mwanza

    Habari, Nahitaji msusi wa dreads awe: Anajua kubana style nyingi Kutwist vizuri sana Kufanya interlock Kufanya dreadlocks extension Na mengineyo Vigezo Awe tu mstaarabu, mwenye adabu na msikivu Mwenye nia ya kazi Anayeweza kufika kazini kila siku saa mbili kamili Asiwe na tabia za utoro wa...
  3. N

    Msusi wa dreads wa kiume anahitajika MWANZA

    Bado anahitajika 0744597493
  4. N

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    kwan kipi cha ajabu hapo? Nani kasema faida chap chap? Soma kwa umakini
  5. N

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Habari Members najua humu kuna watu wa aina nyingi, waliobobea katika biashara, na watu wa sekta nyingine. Naomba kusaidiwa kujua BIASHARA ninayoweza kufanya kwa mtaji wa laki tano tu, ila hiyo biashara iwe na uwezo wa kunipatia faida ya 10000 tu kwa siku!! Hiyo faida ni baada ya kutoa...
  6. N

    INAUZWA Saloon/Vifaa vya saloon vinauzwa

    Navihitaji,nipigie 0744597493
  7. N

    Tetesi: MSAADA; Ni vip nipromote account yangu Instagram na facebook?

    asante mkuu. Ila sasa changamoto jinsi ya kulipa kwa hizo usd.. Sina bank account kwa sasa
  8. N

    Tetesi: MSAADA; Ni vip nipromote account yangu Instagram na facebook?

    Husika na kichwa cha habari, Naomba anayejua anisaidie jinsi ya kufanikisha kupromote account yangu ya insta na facebook. +255744597493
  9. N

    Je, atanifaa kama mke?

    Da! Ni mtihani mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. N

    Je, atanifaa kama mke?

    Nimekuelewa saana mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. N

    Je, atanifaa kama mke?

    Sawa sawa mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  12. N

    Je, atanifaa kama mke?

    Asante sana Kaka, nimekuelewa saaana Sent using Jamii Forums mobile app
  13. N

    Je, atanifaa kama mke?

    Hamna mkuu, yeah ni wa huko huko lakin haishi huko na jina halianzi na hiyo herufi. Yeah anaonekana kuwa smart na hana aibu kwenye mishe mishe za pesa, ni mzuri balaa, ila alizaa kipindi cha sec. Na mtoto ni mkubwa sasa. Sio mtu wa bata saana ni ile hali ya kawaida ya wadada, ni mzuri bt...
Back
Top Bottom