Mimi nina ndoto MBOWE asipokuwa mwelewa atauwa CDM,Ninakipenda chama si kwa sababu ya mbowe ni kwa sababu ya uwazi ambao baadhi ya watu wameinsipire kukipenda chama
Nimejiunga juzi hapa baada yakuona nimesoma sana ya wengine humu ndani,sasa naomba munipokee ili na mimi nianze kutupia maoni yangu na mawazo yangu kulingana na msitakabali wa TANZANIA YETU NA DUNIA KWA UJUMULA
Asante kwa kunielewa naomba ushirikiano wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.