Recent content by New Insurer

  1. New Insurer

    Gharama za kuendesha msiba zinahitaji nini na ni kiasi gani

    Kenya wapo watu kama hao, sijui kwa Tanzania. Yaana wakasimamia msiba mwanzo mwisho
  2. New Insurer

    BIMA (INSURANCE): Uliza chochote kuhusu biashara ya Bima

    Ndio mkuu unaweza kupata Bima ya afya wewe peke yako. Kwa ushauri zaidi fika AAR Insurance utapata huduma hiyo bila shaka. Karibu
  3. New Insurer

    Mtazamo wangu kwa Flora (Mbasha) kufunga ndoa ya pili

    Mmmh.... Flora flora kila mtu atachukua mzigo wake mwenyewe. Hakuna kusaidiana dhambi, mumuache maana kama ni dhambi hawezi kukupa umsaidie. Vile vile "Hapangiwi anautumia mwili yake na akili yake mwenyewe"
  4. New Insurer

    BIMA (INSURANCE): Uliza chochote kuhusu biashara ya Bima

    Asante mkuu. Tupo kuelimishana, well said
  5. New Insurer

    BIMA (INSURANCE): Uliza chochote kuhusu biashara ya Bima

    Mkuu tembelea website yao au fika pale chuoni utapata maelekezo.
  6. New Insurer

    BIMA (INSURANCE): Uliza chochote kuhusu biashara ya Bima

    Hapana mkuu huwezi kukatia bima hizo suti zako. Ndio unaweza kukatia bima nyumba ambayo iko under construction, bima yake itakuwa "Contractors all Risks insurance cover"
  7. New Insurer

    BIMA (INSURANCE): Uliza chochote kuhusu biashara ya Bima

    Mkuu,magari ya serikali hukatiwa bima na yakisababisha ajali kampunu husika ya bima huwajibika. Sijui nimekujibu au bado?
  8. New Insurer

    BIMA (INSURANCE): Uliza chochote kuhusu biashara ya Bima

    Ndio inalipa sana kulingana na utafutaji wako wa masoko (marketing). Mawakala hupata commission ya kila bima wanayoikatia. Commission hizo huanzia 10% na kuendelea. Pia hutofautiana kulingana na aina ya bima iliyokatwa. Kuna magari, moto, wizi na nyingine nyingi .
  9. New Insurer

    BIMA (INSURANCE): Uliza chochote kuhusu biashara ya Bima

    Ok, magari hauo hukatiwa bima na ikitokea ajali kampuni ya bima huwajibika.
  10. New Insurer

    BIMA (INSURANCE): Uliza chochote kuhusu biashara ya Bima

    Bima hizo huitwa Third Party Insurance cover, third party ni mtu wa tatu. Mtu wa kwanza ni Kampuni ya bima, mtu wa pili ni wewe mteja wa bima na mtu wa tatu ni yule utakayemfanyia uharibifu wa mali yake. Hivyo basi tatizo au ajali ikitokea Kampuni ya bima itamlipa mtu wa tatu yaani Third Party...
  11. New Insurer

    BIMA (INSURANCE): Uliza chochote kuhusu biashara ya Bima

    Ndio mkuu, kuna chuo pekee hapa nchini kinachotoa mafunzo au elimu ya Bima. Chuo hiki ni Institute of Finance Management (IFM).
  12. New Insurer

    BIMA (INSURANCE): Uliza chochote kuhusu biashara ya Bima

    Magari ya serikali yanakatiwa bima mkuu.
Back
Top Bottom