hill and portion
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 1,236
- 740
Ikiwa nilnekata bima ya gari yangu na ikatokea sijawahi kupata ajali au kusababisha ajali yeyote tangu nianze kumiliki hilo gari ..mimi kama mteja wenu nafaidikaje na bima yenu??
Ndio inalipa sana kulingana na utafutaji wako wa masoko (marketing). Mawakala hupata commission ya kila bima wanayoikatia. Commission hizo huanzia 10% na kuendelea.
Pia hutofautiana kulingana na aina ya bima iliyokatwa. Kuna magari, moto, wizi na nyingine nyingi.
Mfano namiliki nyumba ya biashara na ambayo nimeikatia bima(hoteli, flem za maduka nk). Swali kwa kuwa siwezi kulipwa kwa wakati, je nitalipwa bima na ile income (faida) ambayo nimeikosa toka janga lilipotokea?
Namjibia mleta mada kwa lile nalofahamu.Ikiwa nilnekata bima ya gari yangu na ikatokea sijawahi kupata ajali au kusababisha ajali yeyote tangu nianze kumiliki hilo gari ..mimi kama mteja wenu nafaidikaje na bima yenu??
Nafikiri mfumo wa Bima kwenye ulinzi wa fedha za wateja huwa ni kama Benki. Makampuni ya Bima huwa yanahifadhi au kuweka fedha za bima kwa mfumo wa 'pool' kwa maana kwamba kila aina ya bima ina fungu lake linalojitegemea. Bima za magari zinawekwa tofauti na fedha za bima za moto nk. Na kampuni haziruhusiwi kuchukua risk kubwa kuliko uwezo wa kuzilipa ndiyo maanahuwa kuna nyakati fulani Kampuni moja ikipata biashara kubwa hugawana risk na makampuni mengine na claim inapotokea hugawana fidia kama ambavyo waligawana mapato. Na hufanyiwa auditing na Kamishna wa Bima mara kwa mara.Kama nilikata bima kwenye kampuni yenu alafu ikafilisika madai yangu napataje
Jamaa aliuliza magari ya serikali yanalipiwa bima?????
Ukajibu hapa.
Akuliza wat if yakisababisha ajali???
Hapo sijaona jibu lako
Plz hili ni swali la msingi naomba jibu
Kuna suti zangu nazipenda sana nilinunua gharama naweza kukatia bima?
Je naweza kukatia bima nyumba ambayo ipo under construction
Nafikiri mfumo wa Bima kwenye ulinzi wa fedha za wateja huwa ni kama Benki. Makampuni ya Bima huwa yanahifadhi au kuweka fedha za bima kwa mfumo wa 'pool' kwa maana kwamba kila aina ya bima ina fungu lake linalojitegemea. Bima za magari zinawekwa tofauti na fedha za bima za moto nk. Na kampuni haziruhusiwi kuchukua risk kubwa kuliko uwezo wa kuzilipa ndiyo maanahuwa kuna nyakati fulani Kampuni moja ikipata biashara kubwa hugawana risk na makampuni mengine na claim inapotokea hugawana fidia kama ambavyo waligawana mapato. Na hufanyiwa auditing na Kamishna wa Bima mara kwa mara.
Hata hivyo pia, Makampuni ya bima nayo hu-insure bima hizohizo kwa Makampuni makubwa ya bima yanayoitwa Re-insurance.
Pale ifm wanapokea lini wanafunzi wa hii kozi?
Unapataje faida kama wewe ni wakala wa kampuni ya bima?
Naomba ufafanuzi wa kina kwenye hili swali la je kuwa wakala/broker inalipa?je mtaji unatakiwa huwe na kiasi gani? Na je nipe tofauti kati ya Broker na Agent kiutendaji,kifaida na kimtaji na yupi anatengeneza faida kubwa, swali lingine ukitaka kuwa kati ya broker/Agent vigezo gani vinahitajika,mtaji kima cha chini ni kiasi gani na je utaratibu upoje?Ndio inalipa sana kulingana na utafutaji wako wa masoko (marketing). Mawakala hupata commission ya kila bima wanayoikatia. Commission hizo huanzia 10% na kuendelea.
Pia hutofautiana kulingana na aina ya bima iliyokatwa. Kuna magari, moto, wizi na nyingine nyingi .
Hebu pitia majibu yako. Ulesema hayakatiwi bima that was a point of my question. Any way i understand uMkuu,magari ya serikali hukatiwa bima na yakisababisha ajali kampunu husika ya bima huwajibika.
Sijui nimekujibu au bado?
Pale ifm wanapokea lini wanafunzi wa hii kozi?
Naomba ufafanuzi wa kina kwenye hili swali la je kuwa wakala/broker inalipa?je mtaji unatakiwa huwe na kiasi gani? Na je nipe tofauti kati ya Broker na Agent kiutendaji,kifaida na kimtaji na yupi anatengeneza faida kubwa, swali lingine ukitaka kuwa kati ya broker/Agent vigezo gani vinahitajika,mtaji kima cha chini ni kiasi gani na je utaratibu upoje?
Kuwa broker au agent inalipa kutokana na wewe jinsi utakavyopata wateja wengi.
Na tofauti ya agent na broker ni agent anakua chini ya kampuni moja ya bima ila broker anafanya kazi na kampuni nyingi za bima.
Vitu vinavyoitajika kuwa broker http://tira.go.tz/sites/default/files/Requirements -insurance brokers.pdf
Vitu vinavyoitajika kuwa agent http://tira.go.tz/sites/default/files/Requirements for licensing an insurance agent.pdf