Recent content by New Designer

  1. N

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Maoni ya kiufundi na maboresho Hongera sana Kiongozi Maxence pamoja na timu yako nzima ya ufundi kwa juhudi na nia ya dhati ya kuiwezesha jamii kupata huduma bora za kidigitali. Hata hivyo, kwenye update hii kuna changamoto kadhaa za kiufundi ambazo ni nyingi kiasi kwamba si rahisi kuzitaja...
  2. N

    JamiiForums Tanzania The Ages of AI na JamiiAI: kuwa na roboti nyumbani, maofisini, mashambani hakutakuwa jambo la kushangaza Tanzania

    mkuu ukisikia robot unafikiri ni zile za movie ? hata kabati inaweza kuwa robot
  3. N

    JamiiForums Tanzania The Ages of AI na JamiiAI: kuwa na roboti nyumbani, maofisini, mashambani hakutakuwa jambo la kushangaza Tanzania

    Mkuu kuna aina nyingi sana za robot duniani, robot zipo nyingi tofauti tofauti hasa za usafi ukisikia robot unaelewaje ?
  4. N

    JamiiForums Tanzania The Ages of AI na JamiiAI: kuwa na roboti nyumbani, maofisini, mashambani hakutakuwa jambo la kushangaza Tanzania

    kuna njia nyingi za ulinzi sio tu kung'ata au kubweka robot za ulinzi zinaweza kuwa hata milango, mwizi akiingia tu mlango unamfungia
  5. N

    JamiiForums Tanzania The Ages of AI na JamiiAI: kuwa na roboti nyumbani, maofisini, mashambani hakutakuwa jambo la kushangaza Tanzania

    Hiyo sio kazi ngumu kutengeneza robot kama huyo mimi nita tengeneza ngoja wawekezaji waeleweke
  6. N

    JamiiForums Tanzania The Ages of AI na JamiiAI: kuwa na roboti nyumbani, maofisini, mashambani hakutakuwa jambo la kushangaza Tanzania

    Habari wakuu, Miaka michache ijayo, kuwa na roboti nyumbani, maofisini, mashambani hakutakuwa jambo la kushangaza. Kama ilivyo kwa simu janja ambazo zamani zilionekana kuwa za kipekee, roboti nazo zinatarajiwa kuwa sehemu ya maisha ya kila siku. Roboti ni Nini? Roboti ni mashine iliyoundwa...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Wadada warembo ma single mpo kweli humu ?

    Huu pia ni mtizamo wako mkuu wangu nipo free now sina muda ninaopoteza
  8. N

    JamiiForums Tanzania Wadada warembo ma single mpo kweli humu ?

    Huo ni mtizamo wako mkuu wangu haya ni mambo madogo ya kawaida
  9. N

    JamiiForums Tanzania Wadada warembo ma single mpo kweli humu ?

    Mimi najifurahisha tu mkuu wangu hapa
  10. N

    JamiiForums Tanzania Wadada warembo ma single mpo kweli humu ?

    I see
  11. N

    JamiiForums Tanzania Wadada warembo ma single mpo kweli humu ?

    Kumbe
  12. N

    JamiiForums Tanzania Wadada warembo ma single mpo kweli humu ?

    kwahiyo unaniabisha
  13. N

    JamiiForums Tanzania Wadada warembo ma single mpo kweli humu ?

    Umekuja
Back
Top Bottom