Recent content by Nevilly

  1. Nevilly

    Rais Paul Biya ambaye ndiye mzee kuliko wote Afrika ageuka kichekesho huko Marekani

    Mnaojua kizungu jisomeeni wenyewe: ============= hiyo ndio imenchekesha ... na sijasoma nmewaachia wazungu wasome
  2. Nevilly

    Pengine, linaweza kutimia kwa njia hii. B+

    Hiyo inatokea kama makubaliano ya awali yanakuwa hajakaa vzuri.... kama kila mtu akiwa muwazi na wanasheria wamechukua nafasi yao vzuri akialibiki kitu
  3. Nevilly

    Pengine, linaweza kutimia kwa njia hii. B+

    Naipokea iyo blessing kwa mikono yote na moyo mmoja .. ubarikiwe nawe
  4. Nevilly

    Pengine, linaweza kutimia kwa njia hii. B+

    Yaa ni developer mkuu, Tujadiri ndio mwanzo niliokuwa nautafuta , .. contact: 0743882455..
  5. Nevilly

    Pengine, linaweza kutimia kwa njia hii. B+

    ok.! hahahhaa haha .. good one
  6. Nevilly

    Kuchelewa kwangu kunanitisha sana

    Ni kweli ila kuna baadhi ya matukio katika maisha huwezi ukayazuia .. kwa sababu yanakuwa yana dalili ya kubeba hatma ya maisha yako kama yakienda kama inavyo takiwa ila yakipinda tu unajikuta umepoteza direction ya maisha k
  7. Nevilly

    Pengine, linaweza kutimia kwa njia hii. B+

    Swali lako linaitaji jibu la sitoweza,ila jibu nalo kupa ntaweza
  8. Nevilly

    Pengine, linaweza kutimia kwa njia hii. B+

    Wadau, Mwaka jana nilikuwa nilikuwa nko katika msongo wa mawazo ambao ulinipelekea kujiona kama vile Nimechelewa na looser fulan kwa sababu nlikuwa naona umri (30) wangu na kiwango cha mafanikio niliyonayo haviendani kabisaa na sina kipato cha uhakika na kinachoeleweka, nkaona isiwe tabu ngoja...
  9. Nevilly

    Maneno 20 ya hekima niliyowahi kuambiwa na Mama kuhusu Dunia yakanisaidia

    Mama yang alkuwa ananiambia... Mwanangu ombea sana maisha yako Omba kwa ajili ya mke utakae pata Omba kwa kwa ajili ya watoto utakao pata Omba kwa ajili ya moyo wako Pia aliniambia ukumbuke hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu ..... Mama ni mkristo na anampenda sana MUNGU....
  10. Nevilly

    Unakumbuka mila na dawa asili zenye nguvu ambazo tumeziacha?

    Tutofautishe kwanza ...kisha ndo tunaweza ongea lugha moja Njia ya mtoa mada imekaa Spiritual haina improvement yan hiyo ndo iko ivoo na results yake Lakn hiyo MFANO apo juu sio Spiritual Iyo ya kukaa kwenye kinu... hahaha Jino lkkuuma mzee mwenzangu kaa kwenye kinu mzee ungoe alafu utuletee...
  11. Nevilly

    Rais Samia kukutana na Baba Mzazi wa Rihanna tunafaidika vipi kama Taifa?

    Labda alkutana nae tu bahat mbaya akaona isiwe tabu kupga nae picha Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
  12. Nevilly

    Kwa akili niliyonayo sasa kama ningepewa nafasi ya kuchagua pengine nisinge chagua dini yangu ukristo

    Nmeasoma jujuu ila nmekuelewa Kuna mambo unatakiwa kujua juu ya utoaji Kuna sili kubwa sana katka utoaji Na sili aipo katk unachotoa Sir ipo ndan ya Aman ya utoaji... unatakiwa uwe na brain fulani iv kuona na kuelewa iv vtu ................... Ok point yang ya msing ni .. Yakobo 1 : 12 Dini...
  13. Nevilly

    Hii ndoto sasa imekuwa too much

    Mwaka Jana nmeota sana ndogo hiz Za shule Nmemaliza darasa la saba 2004 form 4 na 08 Ila ndoto hyo ilkuwa inaeleza baada ya kumaliza sekondary ...sijajua apa kuna mchanganyiko wa hisia Za nliambiwa nlud kusoma lasaba au n mm mwenyewe nmeamua kulud kusoma la saba.. Ndoto mara nying ilkuwa...
Back
Top Bottom