Ndugu zangu wanachadema wakati wa ukombozi umeisha fika,hapa ndipo tunapo takiwa kuwa pamoja katika nyakati ngumu kama hizi.Hatutakiwi kukata tamaa bali kupigania haki zetu mpaka mwisho,maana tukiogopa watachukua kila kitu kwa kututisha.Nawapa pole makamanda wote mlio umizwa kwa kupigania...
Re: Ni kweli tunahitaji mahakama ya Kadhi na kujiunga na OIC?
Nina uhakika kabisa kuwa hili suala halitatimia kwasababu serikali yetu haina dini hivyo mambo ya kidini yanatambuliwa na wenye dini hiyo.Hivyo basi suala la mahakama ya kadhi hatuwezi kuikubali itambulike kiserikali na kutumia fedha...
Nimatumaini yangu kwa nguvu za mwenyezi mungu kuwa ccm sasa kitakuwa chama cha upinzani na itakichukua mda mrefu kuja kusimaa tena. usiniulize kwanini wakati umepewa macho.
VIVA CHADEMA
Siku za mwizi ni arobaini,wakati umefika kuwaonyesha ccm kuwa hata watoto wa shule za msingi na sekondari wamegundua kuwa ccm ni wezi.Cha moto kukiona 2015. Kitaeleka tu
siku zote mtu mwizi huwekwa madarakani na wezi wenzake,kwahiyo msishangae kuona Kinana akimaliza tembo wetu kwa fujo na viongozi wetu kukaa kimya. Ila siku zake zinahesabika,ngoja chadema tuchukue nchi utaona watakavyo kimbia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.