Recent content by Nendubotho Sunguya

  1. Nendubotho Sunguya

    JamiiForums Tanzania Usiku wa mauzauza ya CHADEMA

    Ni zaidi ya dikteta Mbowe na anaowaongoza
  2. Nendubotho Sunguya

    JamiiForums Tanzania Yule mama aliyekuwa diwani jijini Arusha amelalamika walikuwa wanatishwa na kutukanwa matusi ya nguoni. Je, Mbowe dikteta?

    Nilishaandika kuhisu mambo waloyofanya wakati wa uchaguzi 2015 hapa..chadema na MBOWE kwa ujumla hawatakiwi hata kupita nje ya ikulu sembuse kuisshika dola
  3. Nendubotho Sunguya

    JamiiForums Tanzania Mbowe, na sisi pia tumekuchoka pumzika acha udikteta ndani ya chama

    Imagne ndo ashike urais atabadilisha kila kitu atawale milele
  4. Nendubotho Sunguya

    JamiiForums Tanzania Matokeo Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Novemba 24, 2019: CCM yashinda kwa 99.9%, CHADEMA wapata Kijiji kimoja na Vitongoji 19, CUF nao Kijiji

    Kila linalojiri wanatupa. Kama mtu ulisusia nini tena unahangaika.wana ugonjwa mkubwa sana
  5. Nendubotho Sunguya

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Rais kuhusu ujenzi wa barabara ya Msongola

    Shukrani sana. Ki ukweli watu wapo tayari kuchanga ila bado hatujapata mfumo sahihi wakuzikusanya hizo pesa ili kusiwe na sintofahamu yoyote
  6. Nendubotho Sunguya

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Rais kuhusu ujenzi wa barabara ya Msongola

    Ni kilometa chache tu kutoka chamazi complex ilipo.kwa kifupi hii barabara ina historia.wengine wanadai ni pesa zilipigwa enzi za JK. ni barabara ya kwenda chanika eneo la mjini kabisa.ni barabara yenye wakazi lukuki Sio makazi mapya. Tangu enzi za mapa wanapiga danadana kuotengeneza na wakazi...
  7. Nendubotho Sunguya

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Rais kuhusu ujenzi wa barabara ya Msongola

    Eneo la barabara wala halijaguswa kabisaaa. Na hifadhi ya barabara ni kubwa sana.tatizo hii barabara magari yanapita mengi na watu ni wengi ila barabara ni mbovuuu hakuna mfano.
  8. Nendubotho Sunguya

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Rais kuhusu ujenzi wa barabara ya Msongola

    Jitahidi kwenda kupiga kura ndugu
  9. Nendubotho Sunguya

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Rais kuhusu ujenzi wa barabara ya Msongola

    Hima tukapige kura mwisho saa 10
  10. Nendubotho Sunguya

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Rais kuhusu ujenzi wa barabara ya Msongola

    Hali ilivyo kwa sasa barabara yetu ya mbande msongola.
  11. Nendubotho Sunguya

    JamiiForums Tanzania Baada ya wapinzani kususia uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, aibu waliyoipata CCM hawataisahau

    Akili zenu chadema wote zinafanana.mmewanyima watu uhuru wa kugombea nafasi kwa maamuzi ya watu wachache tunawasubiri na mwakani. Na hata mwakani msipozingua hampati hata kiti kimoja bungeni
  12. Nendubotho Sunguya

    JamiiForums Tanzania Prof Issa Shivji: They are blinded by power and protected by walls, but they will go down eventually

    Mi siwaulizi namuona mbowe ambae habanduki
  13. Nendubotho Sunguya

    JamiiForums Tanzania Prof Issa Shivji: They are blinded by power and protected by walls, but they will go down eventually

    Alisema lini anataka kukaa milele au chuki zenu wananzengo.
Back
Top Bottom