Wewe unaomba usogezwe watu wapo kwenye maandalizi tayari na anaomba kama nani wakati WENGINE wote wanajiandaa na uchaguzi ivi vitu angefanya BAADA ya uchaguzi ILI kuitafuta reform sio MWAKA huu kwisha feli
Niudhurie ya nn MTU anasema mtakiwasha hana ata rungu na polisi wapo JE alikiwashaga Lini na ni Tanzania ipi iyo utakayo kiwasha kwa watu wapi hao watakao toka Amna ktu kama icho ashafeli mpaka apo anachofanya n kelele zisizo na matokeo
No election haiwezi kutokea Tanzania hii kwa sasa akina lisu waseme watauzuiaje uchaguzi JE ni kwakupitia watanzania Hawa Hawa na polisi Hawa Hawa waliopo au watauzuiaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.