zoom me
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 213
- 49
Ni wapinzani Gan ambao hawapo kwa ajili ya taifa?
Mbona kwenye esrow aliwaappreaciate kwa kumuunga mkono kwenye jambo nyeti la taifa?
Acheni kutugawa watanzani tena mkome.
Eti fulan mdini tupe ushahid wa udini wake?
Nyie mnalia udini na ukabila ndio mnaofanya watu wa sehemu Fulani kukichukia chama flan kwa maneno yenu yasiokuwa na usyahi.