Recent content by Nelson Mwombeki

  1. Nelson Mwombeki

    Ndugai hapaswi kulaumiwa, katekeleza sheria, tukianza kutafuta huruma kwenye sheria za nchi mambo hayakwenda

    Ukifata matakwa na vigezo vinavyoelekezwa na bunge hamna atakaye kugusa
  2. Nelson Mwombeki

    Ufuta unawafanya watu wawe na viburi mjini hapa

    Kila zao lina changamoto zake, usione wanapiga pesa tu ingia wewe ndo ujue km pesa inapigwa au wanalia wakijifungia vyumbani mwao
  3. Nelson Mwombeki

    Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

    Mimi wala siwez kushangilia wala kushangaa anachopost maana km nikiwa nimemfollow inamaana nahitaji kumsikiliza na kuona anachofanya kupitia mtandaoni, so unakuwa mfuasi wake kwa namna moja au nyingine, bisha au ukatae ukimfollow mtu unamaanisha kuwa unahitaji uone na usikie anachokifanya...
  4. Nelson Mwombeki

    Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

    Mkimfollow mnamsoma, msipomfollow hamtaona post, so suluhisho ni ku-unfollow
  5. Nelson Mwombeki

    Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

    Kana kwamba ni kosa au nini, maana kaandika kwenye page yake wala sio kwenye page ya news na hajamtagi mtu mwingine asiyehusika na hiyo post, so NYIE mliomfollow kama kondoo wake mnatakiwa mfurahie kila anachopost, km hampendi mwambieni asikie au asome ili iwe na effect sasa kumdiskasi humu...
  6. Nelson Mwombeki

    Serikali, mmebariki wananchi kuuziwa mifuko mbadala kwa shilingi mia tano?

    500/= sinunui mfuko wa karatasi, sahv bei itakuwa juuuuu ila baada ya muda itashuka hadi 50/=
  7. Nelson Mwombeki

    Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

    Kwan kuna mwanamke uliyewah kumwona ww ana maajabu, au madem ulionao ww wana maajabu yoyote?
  8. Nelson Mwombeki

    Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

    Maajabu gani mnataka, huyo ni binadamu tu km wewe lakini kashafanya maajabu yanayofanywa na kila mwanamke duniani...kazaa mtoto...ndo maajabu yake hayo, maajabu mengine wamebarikiwa mitume na manabii, wakuu mna wivu hata kwenye maisha ya ndani ya wengine
  9. Nelson Mwombeki

    Swali fikirishi: Hivi kwanini Watanganyika wanachukia kuitwa Watanganyika?

    Zanzibar ina watu km nyie mnaopenda kusema muungano wa dhuluma, hatukuwepo kwenye pilika za ukombozi dhidi ya wajerumani na masultani wenu waliokuwa wanapitisha na kuuza watumwa kwa wakoloni, kwahiyo kuna mikataba iliyoingiwa kati ya tanzania bara na visiwani na kuna mambo ya muungano na yasiyo...
  10. Nelson Mwombeki

    Swali fikirishi: Hivi kwanini Watanganyika wanachukia kuitwa Watanganyika?

    Mi mtanzania, hiyo tanganyika naijua kwa historia tu, nchi ikipata uhuru na kuzaliwa upya hamna haja ya kushikilia past tunaishi tanzania sio tanganyika, mi ni mtanzania
  11. Nelson Mwombeki

    Paul Makonda: IST ni gari wanayohongwa wanawake mitaani, siwezi kuitumia na siwezi kumpa askari wangu

    IST iwe ya kuhongwa au kununua ni swala la kigezo cha mnunuzi au mhongwaji, gari ni gari tu hata uidharau vipi hiyo unayoisifia haitembei chini ya maji kama manowari wala haipai kama ndege, wala ikipiga mzinga hutoki salama, sasa kudharau kitu kinachofanya kazi sawa sawa na kingine ni upungufu...
  12. Nelson Mwombeki

    Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

    Uzuri uko machoni kwa mmiliki, kwetu wa kawaida kwake malaika
  13. Nelson Mwombeki

    Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

    Ni wivu tuu huo mkuu, kila mtu ana haki ya kupenda alipopenda kwa hisia zozote atazotumia, mbona hujiulizi nyimbo za duniani 80% ni za mapenzi kuliko za aina nyingine, hayo mapenzi tu mkuu sio ufala,
  14. Nelson Mwombeki

    Nissan X-trail inauzwa 6mil tu

    Ahaa ok, japo sio swala la uhakika sana, mi naona ni swala la unafuu tu wa kulimiliki, sio kila mtu wa kawaida anayeweza kumiliki cruiser, rovers na jeeps, vigari viduchu duchu hivi ni cheap kuvioperate
  15. Nelson Mwombeki

    Nissan X-trail inauzwa 6mil tu

    Anaona nani wakati hamna anayejitangaza akianza process ya kununua gari
Back
Top Bottom