Recent content by nelly nashon

  1. nelly nashon

    Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Taifa limepoteza dira, watu wamekuwa kama wanga kila kona watu wanakata majani ya miti mbalimbali hili yajivukize... Hii si sahihi kabisa, Virusi vya Corona hadi sasa hakuna tiba wala chanjo, huwezi pona Corona kwa mvuke wa majani ya miti ambayo kiuhalisia haujui yanatibu nini. Mvuke ukiingia...
  2. nelly nashon

    Ni mambo gani mwanaume anapaswa kufanyiwa na mpenzi/Mke ili asi Cheat?

    Habari!! Kumekuwa na tabia kwa wanaume wengi kuwa na mahusiano nje ya ndoa au kuwacheat wapenziwao! Wanaume wamekuwa na sababu mbalimbali za kufanya hivyo!! je, we mwanaume mwenzangu, ni mambo gani tunapaswa kufanyiwa na wapenzi wetu ili tusiwacheat? Tililikaaaaaa!
  3. nelly nashon

    Rais Magufuli pesa mtaani haipo, biashara ngumu kufanyika, mambo ni magumu sana huku kitaa

    Pole mkuu, tatizo Ikulu hakuna njaa,atapuuza tu
  4. nelly nashon

    Magufuli Honours Promise As Dangote Factory Gets Direct Gas Supply

    Thumb up for President Magufuli, we Tanzanians need to buy cement in affordable price.
  5. nelly nashon

    Safari za Dr Shein nje ya nchi zinawakera nini jirani zetu?

    Unamjaribu Magufuli weweeeee unadhani hakujui!
  6. nelly nashon

    Rais hajakataa kukosolewa lakini njia zitumikazo kumkosoa ni za hovyo

    Utumbo Tu, umeandika mambo Mengi but Pointless,
  7. nelly nashon

    Freeman Mbowe must step down to allow the oppostion party(CHADEMA) to take off!

    Ebu onesha kadi yako ya uanachama you Expansion joints
  8. nelly nashon

    Nina jinsia mbili. Je, nioe au niolewe?

    Kuna uwezekano wa kufanyiwa uchunguzi zaidi wa kitabibu, daktari akigundua ni jinsia ipi inanguvu zaidi anaweza kukushauri ile dhaifu ikafungua ( operation), kisa ataamua aidha kuoa au kuolewa kutegemea jinsia gani itayokuwa imebaki yenye nguvu zaidi.
  9. nelly nashon

    Usitumie Madawa ya kuongeza nguvu za kiume kumfurahisha mpenzi wako, Ipo siku utakuja juta.

    Niacheo uongo gani sasa, kuna aina nyingi sana ya hizi dawa sokoni... Kampuni ya dawa ya Cipla inaingiza dawa inaitwa Erecto, 50mg,100mg etc, madawa ya yalilenga watu wenye matatizo ya nguvu za kiume hasa wenye kisukari ( erectile dysfunction) kibaya sasa vijana na wazee wasio na hii shida...
  10. nelly nashon

    Usitumie Madawa ya kuongeza nguvu za kiume kumfurahisha mpenzi wako, Ipo siku utakuja juta.

    Side effects kuu Ni Anatomical and psychological, anatomical effects Ni kuwa hudhoofisha misuli ya uume, erectile Muscles, hii huufanya uume kuwa dhaifu mno na kushindwa kusimama kwa mida mrefu. Psychological effects, humfanya mtumua kujijengea hisia kuwa pasipo hizo dawa hataweza fanya lolote...
  11. nelly nashon

    Usitumie Madawa ya kuongeza nguvu za kiume kumfurahisha mpenzi wako, Ipo siku utakuja juta.

    Watu wamekosa kujiamini, wana kuwa over excited , they should calm down and make the show great
  12. nelly nashon

    Usitumie Madawa ya kuongeza nguvu za kiume kumfurahisha mpenzi wako, Ipo siku utakuja juta.

    Kuna aina nyingi ya dawa zinanazotumiwa na wanaume kuongeza nguvu ya kufanya tendo la ndoa, Dawa hizi huongeza mzunguko wa dama kwenye uume na kuufanye usimame imara kwa muda mrefu. Mwanaume anapotumia dawa hisi hasa pale anapokuwa hana tatizo la kudumu la upungufu wa nguvu za kiume, hujisikia...
  13. nelly nashon

    Ili serikali isikopesheke, deni la Taifa linatakiwa kufika kiasi gani?

    Naomba kujua wadau, ili nchi isikopesheke, deni ka Taifa linatakiwa kufika kiasi au asilimia ngapi?
Back
Top Bottom