Recent content by Nedago

  1. Nedago

    Ni kwa gharama za nani chama cha siasa cha Tanzania kufanyia shughuli zake Nairobi?

    Wakati Wa Kugombania Uhuru,viongozi Wengi Walivuka Mipaka Na Kufanyia Harakati Nje Ya Nchi Kwa Sababu Za Kiusalama, Ccm Ni Wakoloni Weusi,ni Hatari Kufanyia Harakati Ndani Ya Tz. Kopo Ww
  2. Nedago

    PostGE2025 Yaliyonifurahisha katika Azimio la EU

    Kumbe Huyu Jamaa Ni Kopo Hivi. Now Days,Mnaotumia Jina Nyerere Mnalishusha Hadhi Jina La Mwalimu Nyerere,mmekuwa Watu Wa Hovyo Sana.
  3. Nedago

    Tujifunze mbinu za nchi ya Malawi

    Kweli Ww Akili Yako Imeungulia,malawi Wana Resources Zipi Kulinganisha Na Tz ? Tz Kwa Rasilimali Tulizonazo Haikutakiwa Tuwe Hapa Tena LDC Kundi Moja Na Malawi,sababu Ni Haohao Ccm Na Uroho Wao Wa Kipumbavu,watu Wanachota Hela Wanaficha Kwa Maslahi Binafsi.
  4. Nedago

    GE2025 Tundu Lissu ataja mashahidi 15 kwenye kesi yake ya uhaini. Wamo Rais Samia, Mpango, Majaliwa, Jaji Mutunga na Martha Karua

    Mahakama Ya Rufaa Ilishafuta Hizo Immunity Kwa Raisi,vp ,pm Na Hata As, Tena Ni Mwaka Huu Huu,ww Upo Dunia Ya Wap,unaandika Tu Bila Kufuatilia Taarifa,,
  5. Nedago

    Kijana Mwenye Shida ya Ajira, Nipo Tayari Kufanya Kazi Yoyote Halali

    Sijaona Chochote Pm, Mcheki 0764854689 Huwa Anapatikana Kuanzia Saa 4 Asubui Hadi Saa 12.
  6. Nedago

    Kijana Mwenye Shida ya Ajira, Nipo Tayari Kufanya Kazi Yoyote Halali

    Kama Upo Mbeya,kuna Jamaa Yupo Chunya,mbeya.Kuna Kipindi Alikuwa Anahitaji Vijana Wa Kazi. Ila Ni Migodini Kwenye Dhahabu. Kama Upo Serious,nikupe Namba Yake Au?
  7. Nedago

    Hivi kumbe kuna watanzania hawajawahi kabisa kufika nchi za nje?

    Shida Sio Mm,shida Ni Kazi Ndio Zinanipa Safari,napata Muda Mchache Wa Vacation,wa Kuweza Kwenda Kuifahamu Dar.
  8. Nedago

    Hivi kumbe kuna watanzania hawajawahi kabisa kufika nchi za nje?

    Mm Familia Yangu Yote Wamefika Na Wengine Wanaishi Dar ,lakini Mm Sijawahi Kufika Tangu Nizaliwe ,ila Kiuchumi Kwasasa Na Safari Za Nje Ya Nchi Hawanifikii Hata Kidogo. Na Sina Ratiba Ya Kwenda Dar,mishe Zangu Hazijanipa Route Hiyo. Nmefika Angola,congo,zimbabwe,uganda,south...
  9. Nedago

    GE2025 CHADEMA maandamano ya Oktoba 29, na taifa lililojaa watazamaji badala ya wananchi

    Tumewahadaa Tu Kuwa Tutaandamana Tar 29,lakini Kiuhalisia Maandamano Ni Kabla Ya Tarehe Hiyo,na Maandamano Ya Kweli Huwa Yanaanzia Usiku Mnene Kuanzia Saa 7 Usiku,vyombo Vya Usalama Na Ulinzi Vikiwa Off-guard, Kufika Asubuhi Wanakuta,mitaa Na Barabara Zote Ni Zimejaa Watu Na Ni Too Late To Handle.
  10. Nedago

    Jaji Mstaafu Robert Makaramba: Polisi waliompiga mwananchi mahakamani walitia unajisi eneo la Mahakama

    Polisi Wana-Stress Sana,Polisi Wengi Mishahara Yao Midogo Na Inaisha Kabla Ya Tar15,baada Ya Hapo Ni Wanakuwa Kama Mazuzu,anaweza Fanya Lolote Bila Uwoga,hata Raisi Akijichanganya Anakula Mtama Safi Tu.
  11. Nedago

    Orodha ya sehemu zenye joto kali sana hapa Tanzania.

    Na Ongezea Kyela Mbeya,kule Joto Ni Kali Kama Dar.
  12. Nedago

    Hivi huyu amorim hana back up plan? Hata katimu kadogo hivi anaanza na mabeki watano

    Kikosi Cha Man U Hakina Quality Ya Premier League.
  13. Nedago

    Nileteeni Xavi, Man United haina pa kwenda na Amorim

    Team Ishapoteana Hiyo,alafu Nae Ferguson Astahafu Mazima Sio Anakuwepo Kila Mechi,anamnyima Uhuru Amorim,yaani Utadhani Amekuwa Kama Kikwete Anavyombana Sir% Kila Kona. Man U Inazidi Kuzama ,wavumilie Kama Arsenal Na Liverpool Walivyosubiriaga.
Back
Top Bottom