Kudownload kitu online inahitaji uwe na ujunzi maana site zipo nyingi sana na sio kila site zina movies hd,unaweza kudownload movies ikawa low quality au ikashindwa kuplaya kwenye TV,lila TV zinazotoka sasa lazima ujue code zake lasivyo utakuwa unawaza maji kwenye gunia,alafu kudownload movies...
Ok nimewafuatilia comments za kila mmoja huku kunawanaojua vyema hii biashara na wengine hawajui kitu,hii business nimeifanya toka 2018 kipindi hicho naanza nilikuwa na computer ya quare 2 duo na external ya 1tb jumla nilikuwa na storage GB 1500 na nikianza kwenye kibanda cha mtu yeye pia...
1996-2010.
Hichi kizazi kimebarikiwa sana,hakisubiri sijui serikali itoe ajira wanazama front wenyewe ni wapambanahi sana
Wengi wao wanajitegemea sio kama sisi kizazi cha millennium bado tupo kwa wazazi jitu lina miaka 36 bado lipo kwa mama.
Wengi wao wanapiga pesa simple sana sio mpaka watoe...
Habari za mda huu walimwengu?
Nikiwa kama kijana mwenzenu Leo hii napenda tudiscuss jambo moja muhimu,tukiwa kama vijana tunafeli wapi na tunajisahau vipi?vijana ni chumvi ya dunia bila sisi dunia haitasonga wala watu hawataongezeka,maana sisi ndo wafanya kazi na wazalishaji wa watu duniani...
Unapajua vinzuri kidatu kile kiwanda kinaitwa illovo nimeishi kwa baba yangu mdogo anafahamika kwa jina la matungira,miaka ile ya 2012 nikasoma udereva kwenye chuo hicho kipindi hicho nilikuwa nalima mboga na kufunga nguruwe daah umenikumbusha mbali sana,baba mdogo anapakana na mzee mmoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.