Good,hii system itasaidia wanafunzi kutia makosa ya kuchagua course, kwani mfumo wa TCU wa kuchagua wanafunzi kwa awamu umewapelekea wanafunzi kuchagua course ilimradi aende chuo baada ya kukosa course aliyoipendekeza
Watu wengi wanasoma kwa lengo la kupata vyeti mkuu Hanna output ya kile walichokisoma,swala dogo tu lakufikiria miaka nenda rudi taifa letu la kubwa na bala la njaa,Sioni mchango wa science kwa hili Bali kilichokuwepo ni title tu, kuwa kuna science ambaye output yake haionekani,mf.science ya...
Kwa ninavyo faham mimi kuwa QT ni kwa mtu ambaye hajawai Fanya mtihani wa form 2 ndiye anaruhusiwa kuanza QT ila kuresiti ni kwa mtahiniwa ambaye ameshawai fanya mtihani wa form 2,hivyo basi yeye anahitajika kurisiti bt akomae kweli aache mchezo akikomaa ni rahisi atafaulu tu coz mm ni miongoni...
Msaada nimechaguliwa mount meru university mwanza campus nilitumiwa SMS kutoka chuoni wakadai watanitumia admission latter kupitia e-mail Na box bt had Leo hawajanitumia msaada mwenye kukifaham vizuri hiki chuo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.