changamoto iko kwetu raia pindi inapofika muda wa kampeni za uchaguzi tunakubali kuvikwa miwani za mbao kwa kufanyiwa milipuko ya miradi ya kimaendeleo na pindi kampeni xinapo isha na sisi kuwapa dhamana ya kutuongoza kwa kutumia vigezo vya miradi hewa apo ndipo tunapo haribu. Hivyo wakati...
hii barabara sio ya leo katika hali hii na nimiongoni mwa barabara inayotumiwa na viongozi hivyo ni ucheleweshwaji tuu wa maamuzi. Hali hii ni aibu kwajiji kubwa kama hili kua na miundo mbinu mibovu
Hatari sanaa ilo ni eneo korofi na kibaya zaid halina alama yeyote ya oyo ila lakufuraisha ni kwamba kuna vijana wameweka kijiwe kwaajili ya magari madogo yanayo kwama
Mshikaji kajikuta katika hali ya taharuki baada ya kutumbukia pasipo kujua katika shimo la maji taka lililopo pembezoni mwa jengo la HIDERY PLAZA posta
Katika hali isiyo ya kawaida nikiwa katika pitapita zangu za kujitaftia riziki nilijikuta katika hali ya mshangao pale nilipo kumbana na vijana wabunifu wa ajira zisizo rasimi ambapo vijana walikua wakifanya kazi ya kutoa magari yaliokua yakikwama katika shimo la maji machafu na kutoza fedha...
katika hali ya kusikitisha abiria wa nao tumia kituo cha mabasi msamvu Morogoro wanakabiliwa na hali ya hatari hasa kwa wanao tumia kituo hicho nyakati za usiku. Hili ni jambo la kusikitisha sana kwani kituo hicho kinatumiwa na magari mengi na yana lipa ushuru.
Jambo la kujiuliza ni kwamba...
Tumia mitandao ya kijamii kwa kujiletea maendeleo na siyo kueneza chuki,ukabila na udini.Tafadhali epuka lugha ya kashfa na matusi kwenye mitandao ya kijamii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.