Recent content by NDWAARI

  1. N

    matokeo ya form 4 kutangazwa leo saa 10 jioni na naibu wazili wizarani

    Mbona sasa ni saa tatu usiku na bado hayajatangazwa au wamesahau kaka...ila tunashukuru kwa taarifa ingawa hakuna lolote mpaka sasa.
  2. N

    Kwa waliosoma Azania sekondari.

    kujigonga wapi.....jangwani wakati zanaki ,kisutu na forondo(forodhani) walijaa tele... ni kwamba chips aza zilikuwa haziuzwi...ila jangwani zilikuwa za kumwaga. Wana Aza inamaana mmemsahau mwl.PRIMUS-mzee wa maji,RYOBA, NYONI, mtaaluma CHRISTIAN na secon /master MKONGO alikuwa kapinda yaani...
  3. N

    Doctors tukutana hapa JF kama DonBosco, Starlight haiwezekani

    kuweni na mshikamano ndug madsktsri msitishiwe na kauli za pinda kwa ni hata yeye amekosa mwelekeo...... hakikisheni haki yenu inapatikana ha iwezekani wao wajiongezee halafu wengine wazidi kukabwa na maisha lazma safari hii kielewekeeee.....wana madaktari wangapi wa wanajeshi na mapolisi...
  4. N

    Mkwawa University: Wanafunzi hewa watafuna mil. 66/-

    Bajeti ya mkwawa kukukataliwa na kamati ya bunge ni swala la kuipongeza kamati hiyo kwani inafanya kazi ipazavyo..lakini isiishie hapo lazima walioiandaa wawajibishwe kwani walikuwa wana lengo la kuibia serekali.....mkwawa kuna uvujaji wa fedha wa aina nyingi hehu wadau fuatilieni hillo...
Back
Top Bottom