Nunua dumu la mafuta
Nunua kabati dogo liwe kimtindo mbao, kioo na upande mwingine wavu wa mbu
Zunguka mtaani angalia mazingira ambayo unaona maeneo ya karibu hamna biashara kama hii unayotaka kufungua
Weka target ya sehemu utakayoweka biashara yako
Nunua karai na vifaa vidogovidogo
Kama...
Chukua hii dawa mkuu
Humu kumekuwa na utoto mwingi sana siku hizi wengi hawako serious kabisa
Kuna maelezo ya dawa niliyapata ngoja niangalie tena alafu nikutumie huenda pia ikakusaidia
Kwanini watanzania tusiandamane kupinga hiyo mbuga kuuzwa badala yake tunawaachia maasai as if wao sio watanzania au siyo binadamu
Sisi sote ni watanzania na wale wachache wananyanyaswa tusimame nao kutetea ardhi yetu siyo kukaa kwenye mitandao kujajili shit shit tu
Nadhani Katika habari za Lazaro hapo kifo kimefananishwa na usingizi mzito
Hakuna kesi wala mashauri ndani ya kaburi
Lakini kabla hujazaliwa roho yako ilikuwa wapi?
Roho inarudi kule na siku ambayo utahitajika kwa ufufuo na hukumu au kiama ndiyo roho itarudishwa
Lakini kwa sasa wafu ni kama...
Hii ni siasa kubwa sana huwezi kuielewa
Wazungu wanajaribu kuwasambaratisha marafiki wa putin
Mkiduku mpenda vurugu ni kama anaona putin anachelewa chelewa alikuwa anatamani kiwake mda wote lakini wazungu wanampunguza hapo wanampatia msalaba wake apambane nao
Vilevile kwa Taiwani na China...
Kama umezoea kula bata za majuu
Bongo ni kijijini tu lazima pakuboe
Vitu vingi havipatikani
Nasikia mrembo alitaka wakaishi Amerika
Ndiyo wakashindwana bongo hapaelewi
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hawa wazungu washenzi wanaona kuwa wao ndiyo wana haki ya kuburuza watu wanavyotaka
Putin aendelee kukaza mpaka kieleweke
Wale warusi waliofilisiwa mali zao na kuwekewa vikwazo wana hatia gani kama kweli wanajali zaidi raia wasio na hatia
Wangejali zaidi maisha wasingeendelea kupeleka matani...
Hamna kitu unajua. Kama umebahatika kupata mwanamke mtulivu mshukuru Mungu kwa hilo na kaa utulie lakini siyo kucomfirm kwamba mwanamke hapigwi
Sometimes lazima apashwe makofi kadhaa kama msisitizo na kumuweka atention kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.