Je dini zetu na tamaduni zetu zote za watanzania zinaruhusu kumsimanga mwenzio kwa kuwa amekukosea tu mm naona kunataratibu za kumuelezea hata kulifungia gazeti lake adhabu tosha lkn kumsimanga ndio naona shida eti kwasababu mswahili hajasoma
Nakubaliana na ww mtu wangu ila chenji tugawiwe nchi nzima kwa mfano tirion mbili ikibaki yaani million elfu mbili sindio mkuu tugawiwe kwa watu million 50 kila mtu anapata million nnenne fresh tu mtu wangu kwanza laki moja nagonga mabapa matano na supu ya mbuzi nalewa nakuchakari magu,baba...
Naomba unisamehe maana unaweza kuniharibia funga yangu umeanza kunitusi yaishe mama mimi punguani hakika dini ya Mwenyezimungu itasimama ambayo ni uislam
Ww sio mswahili ww unaweza kutukanwa nakudhalilishwa kwaajili ya pesa ninyi ndio mnao pindisha harakati za wezee wetu waislam hata dini inakataa kumsema kumsengenya mtu uliyempa msaada tu kwasababu amekukwaza mbona aliyempa msaada kakaa kimya hakusema nimsaidia kubenea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.