Ebana hizi gari nimeanza kuziona ona mtaani. Ni gari ile ile imetolewa kwa both Suzuki na Toyota.
Nimeielewa sana hii gari, nataka nijipange niiagize, ila changamoto ni moja, siioni kwenye hizi tovuti zetu pendwa za Befoward, TCV etc.
Hivi kuna uwezekano wa kuagiza used from India au South...
Katika shule nilizopitia nimejifunza kidogo,najua vitu vidogo vidogo kama Capacitors,Diode, Transistor, Rectifier, Transformer etc.
Lakini kama mnavojua ni elimu tu ya kujibia mtihani. Ila ikitokeaga nikafungua ndani ya electronic device naonaga tu Marinjirinji.
Natamani sana kujua hizi vitu...
Kwakweli watu wengi wanachepuka tu. Yani hata umuumbe mwenzi wako mwenyewe,uweke kila kitu unachokipenda,kuna muda utafika utamchepuka tu
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Kuna aina mbili za wanadamu, wanaochepuka na wasiochepuka. Sio lengo la andiko hili kuelezea kwanini wanachepuka. Humu nimeelezea tu mbinu za kuendesha maisha ya kuchepuka kwa tahadhari
Kitabu hiki ni kwa ajili yako wewe ambaye umeshajijua kuwa upo kwenye kundi la wanaochepuka, na tayari...
Kuna aina mbili za wanadamu, wanaochepuka na wasiochepuka. Sio lengo la andiko hili kuelezea kwanini wanachepuka. Humu nimeelezea tu mbinu za kuendesha maisha ya kuchepuka kwa tahadhari.
Kitabu hiki ni kwa ajili yako wewe ambaye umeshajijua kuwa upo kwenye kundi la wanaochepuka, na tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.