Wanajamvi naomba msaada wenu kwa mtu yeyote anayefahamu dawa ya mtu mwenye kifafa, maana hali hii imenitokea ghafla kwa mara ya kwanza mwaka jana kwa kupoteza fahamu kwa muda usiozidi nusu saa. Nimejaribu kwenda hospitali na kufanya vipimo mbalimbali kama MRI na CT-Scan lakini vyote vinaonyesha...
Mleta mada nae ni kishoia. Watu wanajipatia kisusio yao saafi kabisa yeye asema damu atiiii? Mbana maasai akitaka damu anakamata ng'ombe mmoja anamchoma kamshale kwenye mshipa kisha ananyonya damu akimaliza anachukua samadi ya ng'ombe anaziba maisha yanaendelea. Mleta mada unatakiwa ujue kuwa Tz...
Mbona kila kitu kenya? Unaweza kuta wewe mweyewe ndiye unayechangia kwa kiasi kikubwa kurudisha maendeleo ya serikali nyuma kwa kutokulipa kodi. Ebu fikiri ni marangapi umechangia kuikosesha serikali kodi,au kuharibu miundombinu ya serikali kwa kutupa taka hovyo au kwa njia yoyote ile. Yatosha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.