Ahaaa ahaaa ahaaaaa ahaaaaaaa yaaani bado Tanzania bado kuna watu wanawaza ujinga wa kuandamana ? aiseee nawaonea huruma sana maana vichwa vitapasuka zaidi kuliko 29th October
ebu tumuheshimu mkuu wa nchi hata kama umpendi mpe heshima yake pleasen, ni mama, shangazi, ana ndugu na familia inahitaji kuheshimiwa , hate speech hazitujengi , alikuwa mpole sana watu wamemchokoza kumbuka alivyoanza kwa kuwapa asali na chocolates wapinzani wake
Masokoni stendi na hadi kwenye vilabu vya pombe za kienyeji huwa kuna undercover karibu kote nakuhakikishia hilo, yaani ni kitu nilikuwa naona mzazi anapita enzi hizo kwenye kijiwe cha bangi jpili au kwenye mechi za mpira za ushenzini anapaki gari mbali anakuja kijana ana rasta anambrief mamabo...
sheria na utaratibu kila kusanyiko lazima polisi wapewe taarifa ili wapeleke ulinzi , uwe wa hadharani au wa undercover itategemea na OCD anavyoona na aina ya wakusanyikaji, hivi unajua hata walimu tu waiwa na mkutano lazima OCD atume makachero kuhakikisha kila kitu kipo safi na kauli pale ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.