NAKUMbUKA 1992 nilishapigana na mwalimu wille, girdasaida na shayo Arusha sec kwa dk 42 mpaka na wao walikaa chini tukaanza kuulizana utarudia kunipiga na wao wananiuliza utarudia kugombana na walimu tuliulizana kama mara 5 wakaniachia nenda zako na ndo mwisho wa fimbo kuanzia form five mpaka...
Ahaaa ahaaa ahaaaaa ahaaaaaaa yaaani bado Tanzania bado kuna watu wanawaza ujinga wa kuandamana ? aiseee nawaonea huruma sana maana vichwa vitapasuka zaidi kuliko 29th October
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.