Ahaaaa ahaaaaa ahaaaaa hapa ndo nilipowaona watanzania ni manyumbu haswa na wamejifunza kweli kweli, nilikuwa namchukia kiboko ya wachawi anatuitaga watanzania nzige wa kuliwa , na KWELI WATU WALIMUAMINI MANGE KULIKO AMIRI JESHI MKUU, ingekuwa enzi ya magu mpaka leo watu wangekuwa wanaliwa pole...