Recent content by ndoto2020

  1. N

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Aumizwa Na Kusikitishwa Sana na Kifo cha Bi Khadija Said Salmini Mtangazaji wa Kwanza Mwanamke Nchini Tanzania

    ebu tumuheshimu mkuu wa nchi hata kama umpendi mpe heshima yake pleasen, ni mama, shangazi, ana ndugu na familia inahitaji kuheshimiwa , hate speech hazitujengi , alikuwa mpole sana watu wamemchokoza kumbuka alivyoanza kwa kuwapa asali na chocolates wapinzani wake
  2. N

    JamiiForums Tanzania GROK: Mjue Faustin Mafwele na matendo yake dhidi ya binadamu

    DU NDOTO2020 Du ndoto2020 si itakuwa balaaa
  3. N

    JamiiForums Tanzania GROK: Mjue Faustin Mafwele na matendo yake dhidi ya binadamu

    ameshakuwa SACP nadhani watamrusha kuwa CP sasahivi sio lazima kupita DCP n
  4. N

    JamiiForums Tanzania Polisi Isaka, Jimbo la Msalala - Kahama wawazuia CHADEMA kupandisha bendera wakiwa njiani kuelekea Dodoma

    bado unaota wewe ndo wanaishia hivyo chadema ilikuwa 2010 - 2015 period
  5. N

    JamiiForums Tanzania Polisi Isaka, Jimbo la Msalala - Kahama wawazuia CHADEMA kupandisha bendera wakiwa njiani kuelekea Dodoma

    Masokoni stendi na hadi kwenye vilabu vya pombe za kienyeji huwa kuna undercover karibu kote nakuhakikishia hilo, yaani ni kitu nilikuwa naona mzazi anapita enzi hizo kwenye kijiwe cha bangi jpili au kwenye mechi za mpira za ushenzini anapaki gari mbali anakuja kijana ana rasta anambrief mamabo...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Polisi Isaka, Jimbo la Msalala - Kahama wawazuia CHADEMA kupandisha bendera wakiwa njiani kuelekea Dodoma

    sheria na utaratibu kila kusanyiko lazima polisi wapewe taarifa ili wapeleke ulinzi , uwe wa hadharani au wa undercover itategemea na OCD anavyoona na aina ya wakusanyikaji, hivi unajua hata walimu tu waiwa na mkutano lazima OCD atume makachero kuhakikisha kila kitu kipo safi na kauli pale ni...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Polisi Isaka, Jimbo la Msalala - Kahama wawazuia CHADEMA kupandisha bendera wakiwa njiani kuelekea Dodoma

    Hawakutoa taarifa kabla kuwa watakusanyika hapo ili wapewe ulinzi, acheni kuchokonoa vyombo ningekuwa mimi ningeshawavunja magoti wote kwa kukaidi amri ya kutawanyika mbona wote wangepewa viungo bandia vya magoti
  8. N

    JamiiForums Tanzania Angekuwepo hayati JPM asingeruhusu waziri wake aaende Bungeni na mkoba wa mil 14 hata kama ni mkwe wake

    ni kuonyesha kutowajibika katika matumizi, mfano nchi kubwa kama Uingereza waziri alinunua saa kwa hela ya ofisi ya paund 3000 akarudisha na ilibakia afukuzwe , mawaziri wote wa UK na Canada isipokuwa PM tu wanatumia magari binafsi tena ya kawaida kabisa ya dola 40,000 --60,000 tu na unamkuta...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Angekuwepo hayati JPM asingeruhusu waziri wake aaende Bungeni na mkoba wa mil 14 hata kama ni mkwe wake

    Alitumia nguvu kidogo kunyooosha mambo , mahakama ilikuwa kichaka cha wezi kuchelewesha hukumu, wasiojulikana wapo nchi zote zenye akili kama china , israel Russia nk,
  10. N

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Fortunatus Buyobe na Sakata la kutekwa Mshabaha Nairobi kwa mujibu wa Hilda Newton

    Huwezi kupewa milioni 10 Kenya money ukanyimwa vitendea kazi kama sumu za gesi, maji, za sindano, unapewa na vifaa kibao vya kudhibiti mtu ikiwemo short gunners unanyoooshewa kwenye joints unalegea kama mnywa komoni
  11. N

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Fortunatus Buyobe na Sakata la kutekwa Mshabaha Nairobi kwa mujibu wa Hilda Newton

    Wapo wengi sana Magufuli kwenye hili alikuwa anakosea sana , alishawashusha watatu tofauti na kuwatangaza , hata Diwani Athuman wakati anamteua alisema hadharani nyie mlikuwa mnamjua ni polisi wa kawaida kumbe ni high rank TISS
  12. N

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Fortunatus Buyobe na Sakata la kutekwa Mshabaha Nairobi kwa mujibu wa Hilda Newton

    si wangemchoma sindano kwanza ya kumlegeza kmya kimya kwa siri kabla hata kutoka home? acheni hizo story hakuna TISS BWEGE HIVYO
  13. N

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Fortunatus Buyobe na Sakata la kutekwa Mshabaha Nairobi kwa mujibu wa Hilda Newton

    DC angefukuzwa kazi wiki hiyo hiyo
  14. N

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Fortunatus Buyobe na Sakata la kutekwa Mshabaha Nairobi kwa mujibu wa Hilda Newton

    Ahsante sana kwa kuona yaani story yote imekaaa kuiungo uongo
  15. N

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Fortunatus Buyobe na Sakata la kutekwa Mshabaha Nairobi kwa mujibu wa Hilda Newton

    kweli mpaka najiuliza hii story ni kweli ? mimi mwenyewe mikikutafuta sipitiii njia hiyo ya kishamba
Back
Top Bottom