Recent content by ndoto2020

  1. N

    JamiiForums Tanzania Hata kama uko nje ya nchi usiamini sana watu wa karibu ndo wauza Taarifa na kukamatishana

    huy anatakiwa kukatwa katwa vipande na chain saw
  2. N

    JamiiForums Tanzania Polisi Bariadi wafafanua video ya Askari na Bodaboda aliyekuwa na Magunia ya Alizeti

    Alistahili kupigwa risasi ya mguu na nyingine kiunoni kwa nini unasimamishwa husimami?
  3. N

    JamiiForums Tanzania Paschal Mayala acha kutumika na Ridhiwan Kikwete maji yamekorogeka

    SASA NDUGU kwetu upigane na nani? mwenyye nguvu mpishe tu
  4. N

    JamiiForums Tanzania Marathon ya Millioni 334 ya CHADEMA, sijui kama CCM wanaelewa logic yake

    mlimani city siku ile wachimbaji wa madini tu walitoa BILIONI 1 MOJA kama sita GSM B5 na ile wangeitisha mikoani wangekusanya trilioni 1 chap
  5. N

    JamiiForums Tanzania Wazalendo wenzangu jamani 7/7 imekaribia

    hapo sawa
  6. N

    JamiiForums Tanzania Wazalendo wenzangu jamani 7/7 imekaribia

    yangekuwa ya amani sawa lakini wahuni wanakuwa majambazi
  7. N

    JamiiForums Tanzania Wazalendo wenzangu jamani 7/7 imekaribia

    Ahaaa ahaaa ahaaaaa ahaaaaaaa yaaani bado Tanzania bado kuna watu wanawaza ujinga wa kuandamana ? aiseee nawaonea huruma sana maana vichwa vitapasuka zaidi kuliko 29th October
  8. N

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Aumizwa Na Kusikitishwa Sana na Kifo cha Bi Khadija Said Salmini Mtangazaji wa Kwanza Mwanamke Nchini Tanzania

    ebu tumuheshimu mkuu wa nchi hata kama umpendi mpe heshima yake pleasen, ni mama, shangazi, ana ndugu na familia inahitaji kuheshimiwa , hate speech hazitujengi , alikuwa mpole sana watu wamemchokoza kumbuka alivyoanza kwa kuwapa asali na chocolates wapinzani wake
  9. N

    JamiiForums Tanzania GROK: Mjue Faustin Mafwele na matendo yake dhidi ya binadamu

    DU NDOTO2020 Du ndoto2020 si itakuwa balaaa
  10. N

    JamiiForums Tanzania GROK: Mjue Faustin Mafwele na matendo yake dhidi ya binadamu

    ameshakuwa SACP nadhani watamrusha kuwa CP sasahivi sio lazima kupita DCP n
  11. N

    JamiiForums Tanzania Polisi Isaka, Jimbo la Msalala - Kahama wawazuia CHADEMA kupandisha bendera wakiwa njiani kuelekea Dodoma

    bado unaota wewe ndo wanaishia hivyo chadema ilikuwa 2010 - 2015 period
  12. N

    JamiiForums Tanzania Polisi Isaka, Jimbo la Msalala - Kahama wawazuia CHADEMA kupandisha bendera wakiwa njiani kuelekea Dodoma

    Masokoni stendi na hadi kwenye vilabu vya pombe za kienyeji huwa kuna undercover karibu kote nakuhakikishia hilo, yaani ni kitu nilikuwa naona mzazi anapita enzi hizo kwenye kijiwe cha bangi jpili au kwenye mechi za mpira za ushenzini anapaki gari mbali anakuja kijana ana rasta anambrief mamabo...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Polisi Isaka, Jimbo la Msalala - Kahama wawazuia CHADEMA kupandisha bendera wakiwa njiani kuelekea Dodoma

    sheria na utaratibu kila kusanyiko lazima polisi wapewe taarifa ili wapeleke ulinzi , uwe wa hadharani au wa undercover itategemea na OCD anavyoona na aina ya wakusanyikaji, hivi unajua hata walimu tu waiwa na mkutano lazima OCD atume makachero kuhakikisha kila kitu kipo safi na kauli pale ni...
Back
Top Bottom