ebu tumuheshimu mkuu wa nchi hata kama umpendi mpe heshima yake pleasen, ni mama, shangazi, ana ndugu na familia inahitaji kuheshimiwa , hate speech hazitujengi , alikuwa mpole sana watu wamemchokoza kumbuka alivyoanza kwa kuwapa asali na chocolates wapinzani wake
Masokoni stendi na hadi kwenye vilabu vya pombe za kienyeji huwa kuna undercover karibu kote nakuhakikishia hilo, yaani ni kitu nilikuwa naona mzazi anapita enzi hizo kwenye kijiwe cha bangi jpili au kwenye mechi za mpira za ushenzini anapaki gari mbali anakuja kijana ana rasta anambrief mamabo...
sheria na utaratibu kila kusanyiko lazima polisi wapewe taarifa ili wapeleke ulinzi , uwe wa hadharani au wa undercover itategemea na OCD anavyoona na aina ya wakusanyikaji, hivi unajua hata walimu tu waiwa na mkutano lazima OCD atume makachero kuhakikisha kila kitu kipo safi na kauli pale ni...
Hawakutoa taarifa kabla kuwa watakusanyika hapo ili wapewe ulinzi, acheni kuchokonoa vyombo ningekuwa mimi ningeshawavunja magoti wote kwa kukaidi amri ya kutawanyika mbona wote wangepewa viungo bandia vya magoti
ni kuonyesha kutowajibika katika matumizi, mfano nchi kubwa kama Uingereza waziri alinunua saa kwa hela ya ofisi ya paund 3000 akarudisha na ilibakia afukuzwe , mawaziri wote wa UK na Canada isipokuwa PM tu wanatumia magari binafsi tena ya kawaida kabisa ya dola 40,000 --60,000 tu na unamkuta...
Alitumia nguvu kidogo kunyooosha mambo , mahakama ilikuwa kichaka cha wezi kuchelewesha hukumu, wasiojulikana wapo nchi zote zenye akili kama china , israel Russia nk,
Huwezi kupewa milioni 10 Kenya money ukanyimwa vitendea kazi kama sumu za gesi, maji, za sindano, unapewa na vifaa kibao vya kudhibiti mtu ikiwemo short gunners unanyoooshewa kwenye joints unalegea kama mnywa komoni
Wapo wengi sana Magufuli kwenye hili alikuwa anakosea sana , alishawashusha watatu tofauti na kuwatangaza , hata Diwani Athuman wakati anamteua alisema hadharani nyie mlikuwa mnamjua ni polisi wa kawaida kumbe ni high rank TISS
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.