Recent content by ndoto2020

  1. N

    Tumeshindwaje kuongoza njia za Mwendokasi

    1. Nimekuja kwenye jiji lenu inanishangaza sana ndani ya njia ya mwendokasi kuna pikipiki, kuna magari ya watu binafsi balaa nashangaaa polisi wanashindana na raia kuzuia watu sasa ina maana gana ya kuwa na sheria ? ADVICE 1. itungwe sheria ndogo tu ukipita tu chombo kitaifishwe, na ikitokea...
  2. N

    Business Partner wa Mchengerwa aula uteuzi! Tunagawa vyeo mpaka kwa marafiki na hakuna kitu mtafanya!

    Hicho kitengo kina hela mbayaaaa ukizingatia yeye na waziri ni kitu kimoja aiseeeee hakosi B 50 mgao kila mwaka
  3. N

    Business Partner wa Mchengerwa aula uteuzi! Tunagawa vyeo mpaka kwa marafiki na hakuna kitu mtafanya!

    Wewe nakusifu umeleta habari sio kwa mhemko na umbea umeweza ku link documents and scenarios unafaaa sana taarifa za kiuchunguzi, 1. MENGINE MAMA NAYE NAONA UNA UNDUGUNIZATION SANA , NILIMPENDA MNO MAGUFULI LAKINI NILIMLAUMU MNO UNDUGUNIZATION NAONA MAMA KAIGA 100%
  4. N

    JK hawezi kosekana kwenye Epstein files

    unakuta warembo 6 mpaka 8 kwa ajili yako tu tena vya high schools tu Kuna kipindi hapo Dar miaka ya 2010 mpaka 2015 hao jamaaa ma CEO S na ma general managers wa private companies and mabenki ya Dar walikuwaga na nyumba mikocheni kali sana ina kila kitu party kila week end ma binti walikuwa...
  5. N

    Rais Samia: Tumeiomba Uganda iunganishe SGR kuanzia Lusahunga hadi nchini mwao

    ndo akili yenyewe unajiongza kutokana na uhitaji
  6. N

    Simulizi ya Oktoba 29

    Ahaaa ahaaaa na karibi wafalme wote wakubwa waliua uua sana maadui ina maana mungu mwenyewe anajua kuweka discpline
  7. N

    Simulizi ya Oktoba 29

    Aiseee kile kimama kitapeli sana eti anashawishi watu tuingieni mtaaani tukiwashe kwa wingi , wakati wao hawatoki hata kumzika baba yake tu hakuja ila anakuambia toka kakiwashe, vile vimalaya vishenzi kabisa nahamu nisikie siku ameshikwa aiseeee ntaomba kazi ya kumshughulikia walahi mwaka mzima...
  8. N

    Simulizi ya Oktoba 29

    aiseee kuna jamaa anaitwa EZRA na kakachungura wa kenya sijui wanalipwa sh ngapi kila siku post nne mpaka tano za story za tanzania tu na kutuchochea na nyumbu wachche wanatka kuamini
  9. N

    Simulizi ya Oktoba 29

    wasaidie tu kuwa Israel anaua mpaka machozi yanatoka na ndo kwanza anabarikiwa zaidi, China kanyonga sana miaka ya 80 sasahivi adabu tele
  10. N

    Simulizi ya Oktoba 29

    Ahaaaa ahaaaaa ahaaaaa hapa ndo nilipowaona watanzania ni manyumbu haswa na wamejifunza kweli kweli, nilikuwa namchukia kiboko ya wachawi anatuitaga watanzania nzige wa kuliwa , na KWELI WATU WALIMUAMINI MANGE KULIKO AMIRI JESHI MKUU, ingekuwa enzi ya magu mpaka leo watu wangekuwa wanaliwa pole...
  11. N

    Simulizi ya Oktoba 29

    ndo huwa nawashangaaaa halafu wakiliwa vichwa utasikia sikuhusika nilikuwa natoka tu nje
  12. N

    Simulizi ya Oktoba 29

    wangeandamana barabarani na kuchoma vituo vya kura tu au kujaaa barabarani kuelekea sehemu maaalum sio kuiba na kuchoma vitu vya watu binafsi, ule ulikuwa ujambazi kwenye kivuli cha uchaguzi
  13. N

    Simulizi ya Oktoba 29

    walituuumiza sana watu binafsi tunaotafuta hela zetu kwa juhudi kwa kuiba na kuchoma vitu, usitukumbushe machungu bado nina hamu wapasuliwe vichwa waliobaki ungejua
  14. N

    Tumetoka mbali: Mada maalum ya matukio ya zamani

    Hivi huyu Sefania Sumlei ndo allirithi uchifu kutoka kwa chief Sabaya? au Chief mejoooli? kwa wakwe zetu
  15. N

    Orodha ya majiji na watu walioyashikilia kiuchumi,

    Hata tusipowapenda ndo wameshakuwa na mabilionare wa kitanzania hamna namna robo ya majengo mapya dar sasahivi ya wakinga sijui kwa nini wanafanikiwa sana lakini wapo vizuri sanaaa mfano Tunduma Mbeya huku wanatukimbiza mbayaaaaaaa halafu vifupi fupi
Back
Top Bottom