Uko sahihi mkuu Paskal kusema ukweli ni wajibu wako bila kujali anaambiwa nani,lakini je mbona sikusikiagi ukiusema huo ukweli pindi serikali inapokuwa imefanya mambo ya hovyo?au huo ukweli ni kwa baadhi tu ya mambo?
Usiwaze sana mkuu hilo ni tatizo la kawaida linaweza kuisha lenyewe,mimi nimeteseka nalo miaka mingi mpaka nikalizoea ila liliisha lenyewe bila kutumia dawa yoyote.
Naomba nikuulize maswali mawili;Kwanza nikuulize wewe ni jinsia Gani?me au ke,na kama ni me huwa unajisikiaje pale unapoambiwa wewe ni mzuri kuliko dada Yako?
Kwani hao wanasiasa siyo watu?na kama ni watu je wao hawana haja na Mungu?na kama wanayo haja na Mungu Sasa wanampataje bila hao watumishi wa Mungu,au ukishakuwa serikalini wewe na Mungu basi,na kama si hivo huyo padri kukufuata huko siasani na kukuongoza anakuwa amekosea wapi!?.
Ushauri wangu wa harakaharaka uza hiyo sim unayotumia ili upate mtaji uendelee kupambana kuliko kuendelea kupoteza mda humu jukwaani na huko polisi ukimhangaikia teja
Kwa nini hautaki kutaja Id yako ya zamani?au wewe ni miongoni mwa wale matajiri wa jf wanao ogelea kwenye utajiri wa kutisha sasa unaogopa kujulikana uhalisia wako?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.