Hivi watu wa Monduli akili zao sijui zimewaruka? Huyu Kadogo hakuwahi hata kumaliza darasa la saba, leo hii ni diwani, katibu mwenezi wa chama mkoa wa Arusha na sasa wanatamka eti awe amrithi mhe. Lowassa. Nakuambia mhe. Lowassa ukiruhusu huyo kubeba kijiti utakachokiachia ni afadhali uache hata...
Kati ya watu walemavu wa akili ndiyo kama wewe, kweli kwa busara ndogo tu unaweza kusapoti alichosema Pinda kuhusu kupiga raia anaowatawala? Sheria alizokabidhiwa afanyie kazi kulingana na katiba zinamwelekeza kuua raia? Fikiri kama mtanzania.
Mungu akubariki Lema we na familia yako, na ninakuhakikishia watatupiga na kutuua lakini damu na machozi yetu yatakuwa laana kwao hao mafedhuli na kwetu yatakuwa baraka kwa wapenda ukombozi wa kweli.
MUNGU IBARIKI ARUSHA, MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Mheshimiwa Mwigulu huna namna unaweza kujitetea kwa hili dhahama maana hata transactions ulizokuwa unafanya na Ludovick ili kufanikisha udhalimu huo uko dhairi. WE UNGAMA DHAMBI HIYO BROTHER!
huu ndiyo udhalimu uliojaa sura ya ushetani wa ccm na polisi wao. Shime ndugu watanzania tuiondoe hili li-ccm madarakani la sivyo tutaendelea kuteseka zaidi miaka mingine 5 ijayo. Tusikubali kabisa kuhongwa na kanga na tisheti safari hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.