Recent content by Ndoano

  1. N

    Ginimbi: Kutoka umachinga mpaka ubilionea

    Hongera zake
  2. N

    iPad for SALE

    Weka picha tafadhali
  3. N

    Majambazi yapora Tanzanite ya billion 10

    Aha aha aha kwa maana ya Jasiri huwa haachi asili
  4. N

    kesi ya Drug baron Shikuba

    Napenda kufahamu yule Shikuba aliyekamatwa uwanja wa ndege na kisha kupelekwa Kilwa kwenye kesi yake ambae aliunganishwa na wenzie,Kesi yake inaendeleaje,Anaefahamu atujuze
  5. N

    Huyu naye alikuwa anawaza nini kumuoa Dida?

    fafanua vizuri alikuwa akimfuata mwanza wakati akiwa na G au Mchops
  6. N

    Mauaji yaliofanywa na M23 (picha zinatisha)

    Acha uongo ina maana M23 waliwachoma moto maana maiti zote zimeungua na moto,hutudanganyi. Sisi unajidanganya mwenyewe
  7. N

    Hatimaye mume wa Flora Mbasha afikishwa mahakamani

    Kamsaidie dhamana kama masharti mepwsi
  8. N

    Producer Castro Ponela yuko wapi?

    Habari yenu wana JF, napenda kujua Producer Castro Ponela aliekuwa na kesi ya kumuua msanii Steve 2K, yuko wapi siku hizi? Jela, uraiani au wapi?
Back
Top Bottom