kwa taarifa yako ata kama ungeandika ukweli, humu utabishana na makamanda wasio amini kama kuna Mungu. sasa watakuamini wewe? wenzako wanabishana na redio.
wakukamatwa ni lema kwa sababu kiongozi bora ni yule anayeorganizi wananchi ktk kutafuta mwafaka wa jambo fulani ila bora kiongozi ndiyo Mh. Lema anafanya. em wanajanvi tuwe na utu kwenyejambo muhim kama ili, sasa chuo kimefungwa waliathilika ni nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.