Recent content by Ndg.MWASALEMBA.

  1. Ndg.MWASALEMBA.

    Ujenzi wa kiwanda kikubwa cha ngozi Africa

    Jambo zuri sana; Mungu alitangulie lisiishie juu kwa juu kama mengine
  2. Ndg.MWASALEMBA.

    Chumba cha biashara opposite na Idara ya maji Arusha kinapangishwa

    Naomba picha na cha ukubwa gani whatsapp 0713430630
  3. Ndg.MWASALEMBA.

    Vibrate plate machine 800,000/-Tshs

    Salaam! MAZOEZI KWA AFYA YAKO Vibration plate machine *kukimbia na kupata pumzi *kukata mafuta yasiyohitajika mwilini *kushepu mwili katika afya *mazoezi ya viungo kwa urahisi *kukata vitambi na matumbo kwa njia salama *kuzuia magonjwa kama kisukari na presha *na faida nyingine kibao...
  4. Ndg.MWASALEMBA.

    Msaada: Mrejesho Biashara Thailand

    Mkuu cadet mzuri ya thai bongo si chini ya elfu 75/-Tshs , well utanunua lakini sokoni ukifika TZ wateja wanahitaji bei ya 35/-Tshs kushuka chini ikibidi hadi 25/-Tshs na io bei ya cadet kwa 12 bongo na imetoka thai ujue uyo alifunga kontena kiwandani moja kwa moja lkn mtaani kwa bei io ilo lonya
  5. Ndg.MWASALEMBA.

    Msaada: Mrejesho Biashara Thailand

    Logic; kimsingi kwa mtu anaetaka anza biashara na akue basi aende china sio thai...au aanzie kkoo: lkn kwa gharama za bidhaa thai uje tz tunaopenda chipu biashara inakukata saa mbili asubuhi, lkn kwa wenye mitaji mikubwa thai pana wafaa; coz ataingia factory moja kwa moja sio mtaani wala kwenye...
  6. Ndg.MWASALEMBA.

    HEAT PRESS+OBM+TRANSFER=2.8M

    Hello bosses! Ni heat press machine kubwa nzuri na mpya garentiii mwaka mmoja. Ina ukubwa wa size ya A2 kazi ni kwako tu kupiga kazi nzito. Inakaratasi za OBM 200pcs,ina karatasi za transfer 600pcs. Maongezi yapo kidogo sio uwanja mkubwa. Namba 0713430630 au instagram jina happia2013
  7. Ndg.MWASALEMBA.

    Nahitaji kupungua uzito

    Laki Sita io machine boss, wiki nne tu
  8. Ndg.MWASALEMBA.

    Toa kitambi (Punguza unene) - $300 tu

    Mzigo bado upo wakuu
  9. Ndg.MWASALEMBA.

    Toa kitambi (Punguza unene) - $300 tu

    Ni swala la muda tu, umuhimu wa mazoezi mtaaelewa
  10. Ndg.MWASALEMBA.

    Toa kitambi (Punguza unene) - $300 tu

    Ubora mkuu na thamani ya Tsh against $ mkuu ndio vinachangia, ingawa naamini ukinunua huta jutia... Karibu
Back
Top Bottom