mwanangu napamiss vwawa,hasa kitimoto ya kwa Abu Kule kwa Jimu, hawa njegele wanaosema dogo kapokelewa kwa shangwe wanajifariji,watu wa mbozi hatuko hivyo
kha kha khaaaa.... Mwanchekesha, afu eti mleta mada anasema waliondoka CHADEMA, walifukuzwa , sheenzy, na ninavyowafahamu wana Mbozi,imekula kwao, wekeni picha hapa tuwacheke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.