Recent content by ndeankar

  1. ndeankar

    Msaada Njia ya Kuondoa Acid Tumboni

    Limao Lina citric acid sio alkaline mkuu ni weak acid hivyo ukitumia inakuzidishia tatizo sio kukusaidia
  2. ndeankar

    ST DAVID COLLEGE OF HEALTH SCIENCES

    Hiki chuo bana saiv wamehamia kimara kina koz nyingi tu za afya, wanafunzi wake wanalalamika sana kwa ishu za udhalilishaji wa kingono unaoendelea hapo chuoni asee binafsi ninafahamiana na wanafunzi wawili tofauti wote wapemba ambao walkua wanasoma hapo kwa nyakati tofauti na walkua wanasema...
  3. ndeankar

    Maswali magumu ya Luhaga Mpina mkataba wa DP-World

    Mkuu acha kumkashifu Magu mikataba kama hii aliipiga vita hadharani unakumbuka siku alkua anazungumzia mkataba wa bandari ya bagamoyo?? Si ilikua na mambo kama haya na akayapiga chini?? Heshima sio kitu Cha kuombwa mkuu kama unastahili utaipata kitendo Cha wewe kututaka tumpe heshima mtu wako...
  4. ndeankar

    Mtoto aliyepo tumboni huwa hana UKIMWI. Je, mwanamke mweye ukimwi akiwa hedhi ile damu yake haina VVU??

    Vijana wengi mnaogopa ukimwi ila kuna hepatitis mkuu tena inayosababisha kansa ya ini spread yake ni hatari kuliko HIV na ni life time disease Yani ata mgusano tuu na Maji Maji ya mwili ushaupata , mate jasho na Yale ya Niaje Yote yanaweza sambaza so kuwa makini .ila uzuri ni Kwamba kuna kinga...
  5. ndeankar

    Ujasusi Sebuleni Kwetu

    [emoji16][emoji16][emoji16] Kwani nani kafanyiwa ufedhuli mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. ndeankar

    Marks ya chini kabisa ambayo ulishawai pata kwenye mtihani ni ngapi

    Dawa ya waalimu Kama hao mkuu wakomoe saiv pambana adi ukikutana nae aone alkosea mkuu, Mimi o level nilkua spend kunyoa kabsaa Sasa kuna tcha alkua ananionea Sana kila tukikaguliwa ananipiga mkasi tena kwa chini chini Sana ili anikomoe tuu saiv nimefuga rasta ili na Mm nimkomoe [emoji1]...
  7. ndeankar

    Marks ya chini kabisa ambayo ulishawai pata kwenye mtihani ni ngapi

    Ivi Wale wakali wa log saiv wapo wapi? Na umuhimu wake ni upi mbna adi Leo sjaitumia? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. ndeankar

    Umesoma shule moja na mtu maarufu hapa bongo? Mtaje

    Actually nimesoma na monitor na montres wote mlioenda shule bila Shaka mnawafaham watu hawa [emoji16] Sent using Jamii Forums mobile app
  9. ndeankar

    Ukweli Kuhusu Vitunguu

    shukrani mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. ndeankar

    Ukweli Kuhusu Vitunguu

    Ni kweli Vitunguu husababisha Harufu mbaya kinywani kutokana na kua na kemikali ya sulfoxide inayobadilishwa nakua sulfur na ndio inaaminika kuwa chanzo cha Harufu mbaya,sulphoxide hii hii pia inabadilika yenyewe na kua ropenatio-s-oxide ndio inayosababisha mtu kutoa machozi pindi anapokata...
  11. ndeankar

    Ujasusi Sebuleni Kwetu

    Icho ni kilatino bonyeza apo kwenye "sent by using JamiiForum app upate translation [emoji2] [emoji3] Sent using Jamii Forums mobile app
  12. ndeankar

    Nifanyeje ili niweze kuonana na mkuu ONTARIO

    Ukijipost huku mkuu unakosea anzisha page insta itapendeza tena naskia mange kafuta page yake unaonaje ukimreplace
  13. ndeankar

    Nifanyeje ili niweze kuonana na mkuu ONTARIO

    Jipinde mkuu tena weka Nia baada ya muda flani na wew utafutwe
  14. ndeankar

    Nifanyeje ili niweze kuonana na mkuu ONTARIO

    Soma vizuri thread mwanzoni mkuu kuna tofauti kubwa Kati ya kufuata mkumbo na kua na ideas zinazofanana
  15. ndeankar

    Nifanyeje ili niweze kuonana na mkuu ONTARIO

    Asante mkuu nmefrai kwa response ulionionyesha na nita kuja ofisini soon utakaporudi dar
Back
Top Bottom