Hapo Kuna kitu cjaelewa .hiyo miguu walikuwa wanajaribu kuifuatisha ilikuwa size moja na yakwao au ilkuwa mikubwa.maana inaonekana kama ilkuwa almost inafit sasa itawezekanaje natunajua binadam wa zaman walkuwa wakubwa Kimaumbo kulko binadam wa sasa
Habari wanajf ...natanguliza pole kwa kijana hapo kwa masahibu yanayomkuta mpaka anafikiria kuwa mwenye roho mbaya,napia nmeskitika kwakuwa kijana hajapewa ushaur badala yake ameanza kuonekana wakuja.katika jamii yetu saiv tumekuwa tunaendeshwa kwa hisia sana yaani wachache tu wakitoa mawazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.