Recent content by Ndaxy EMI

  1. Ndaxy EMI

    Hivi ndivyo nilivyomuelewa Rais Magufuli, siyo huu upotoshaji wa makusudi kuhusu ujenzi wa reli

    Sasa mbona yale yale tuu ya kukataa mkopo wa China na kutaka kukopa kwenye jumuiya ambayo na Mchina yumo unadhani atafanya kitu gani hapo!!! -Tufikilie nje ya box.
  2. Ndaxy EMI

    TANGA: Coaster lagonga Lori kwa nyuma maeneo ya Lusanga, watu kadhaa wapoteza Maisha

    Duh zero kabisa baadhi ya watu. Sasa hapo chadema wanaingiaje badala ya kutoa pole yako na kupepea tuu. Utakuta na wewe ni kiongozi wa serikali. Kweli tuba safari ndefu sana..... Siasa zitawaponza...... Siyo kila jambo lazima uhusishe na uchadema na uccm. Pooor tz!
  3. Ndaxy EMI

    Sheria ya Utumishi wa umma No.2 ya 2002 inawatambua wakuu wa wilaya/mikoa kama watumishi wa umma

    Ivi DCs/RCs ni viongozi wa kisiasa? Labda uelewa wangu mdogo, uongozi wa kisiasa si lazima watu wagombee? Sasa hao wanaopatikana kwa appointment order nao wanaitwa wa kisiasa ilihali nchi yetu ni ya kidemokrasia? Hapa naomba ufafanuzi kidogo jamani akili imegota
  4. Ndaxy EMI

    Rais Magufuli uwe kiunganishi taasisi za umma na binafsi sio kejeli kila siku.

    Jisifu na hicho chuo eti viongozi wametoka hapo umesahau kujumuisha kwamba hao hao ndo wanatufikisha mahali hapa kama taifa. Chuo gani hicho ambacho hakiwezi kutengeneza wasomi waadilifu kwa taifa lao. Zunguka maofisini uone wafanyakazi wengi waadilifu wametoka vyuo mnavyovidharau. Chuki...
  5. Ndaxy EMI

    Kagera sugar wainuka, watinga TFF kutaka warejeshewe pointi zao walizopewa Simba

    Sasa kama hata kanuni huna na huzijui unapata wapi ujasiri wa kujadili kitu usichokijua????? Tatizo vijiwe soka vinaharibu mpira wa nchi hiii
  6. Ndaxy EMI

    Kagera sugar wainuka, watinga TFF kutaka warejeshewe pointi zao walizopewa Simba

    Tatizo la sisi watu tusiopenda kusikiliza wengine wabasemaje ndo hili.... Mtu unakaa kijiweni tuu. Mbona shauri liko wazi kabisa, rudia kusikiliza uamzi uliowatia hatiani then relate na matukio ya video za nechi zote zilizo mtia hatiani.
  7. Ndaxy EMI

    Kagera sugar wainuka, watinga TFF kutaka warejeshewe pointi zao walizopewa Simba

    Kadi kati ya Africa lyon hawaijui[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]...... Yanga wanasema ni edited ila kadi hakupata yeye
  8. Ndaxy EMI

    Aslay-Angekuona

    [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
  9. Ndaxy EMI

    TAKWIMU: Nini kimepelekea Mitandao ya tiGO na Zantel kupoteza wateja na Vodacom kupanda?

    Wanafunzi tushahamia voda maans wametukatili kwenye muda was maongezi university offer[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
  10. Ndaxy EMI

    Makonda mbona kimya kuhusu Roma Mkatoriki?

    Hii kitu inaitwa nitoke vipi[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] "[emoji443] [emoji443] [emoji442] [emoji442] [emoji445] [emoji450] Napendaga makiki kama msaniiiii[emoji450] [emoji446] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji444] [emoji444] [emoji445]"
  11. Ndaxy EMI

    Tundu Lissu na Ujumbe wa TLS, wakutana na Spika na N/Spika kwa Mazungumzo

    Watanzania na matukio.... Kwa sasa kila kila kitu mbona hakuna mwanamke!!! Waacheni akina mama walee watoto nyumbani leo ni holiday akina baba wakapambane[emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31]
  12. Ndaxy EMI

    Kwa hili la ubunge EALA, CHADEMA imefanikiwa kuiweka CCM mfukoni. Kazeni uzi huohuo

    Kwa nini CCM mnang'ang'ania sana wanawake na wazanzibar? Kama kwenye chama chao hawaoni mtu makini mwenye jinsia ya ke na hawajavunja kanuni kuna shida hapo? Waachani wanawake walee watoto wanaume wa shoka wakapambane. Siasa za kitoto toto tuu mnatuletea. Shame on you CCM
Back
Top Bottom