Bakhressa ilimshinda kwasababu ya namna ya system ya uendeshaji ilivyokuwa na hivyo hivyo kwenye hizo timu nyingine alizotoka.
Mara nyingi wamekuwa wakitoa pesa zao mwisho wa siku hakuna linalofanyika na ukiweka ngumu kutaka kusimamia watu wanakuja juu wanajiita wenye timu, ndiyo maana...
Baada ya utafiti waligundua tatizo halikuwa landing gear ila kulikuwa na kutu ambayo ilikuwa inajitokeza eneo la landing gear na kusababisha utuaji mbaya.
Hiyo makala uliyowea soma hadi mwisho. Najua hiyo umeipata kwa mwanasiasa mmoja hivi.
Hizi siyo ndege kubwa ni ndege za abiria 70 sasa nashangaa watu mnavyolinganisha na ndege za FastJet.
Na kwa wasiojua kuhusu ndege za Bombadier Q400 someni kuhusu technology yake hapa
commercialaircraft.bombardier.com/en/q400/Technology.html.....................
Ukisikia kitu kwenye mtandao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.