Recent content by ndandawamalenja

  1. N

    Nashindwa kumfundisha mwanangu jinsi ya kujikinga na unyanyasaji wa kingono

    Kuna tukio la kusikitisha lilitokea mtaani kwangu. Kijana wa form five alikuwa anamlawiti mdogo wake wa kike wa darasa la sita (Mtoto wa mama yake mdogo anayelelewa na mama wa huyo kijana). Inaonekana hicho kitendo kilianza muda mrefu mpaka siku mama yao (Mama mkubwa wa kabinti) alipogundua...
  2. N

    Mtaala mpya haujaeleweka? Au tunacheza na maisha ya watoto wetu?

    Mbona ni hatari sana kwa maendeleo ya nchi na watoto wetu? Hakuna chama cha kupigania masuala ya wanafunzi? (Kama ilivyo kwa walimu). Hili suala linahitaji nguvu ya wanafunzi au wazazi kwa pamoja. Sio ishu ya mtu mmoja mmoja.
  3. N

    PSSSF tafuteni njia ya kuweza kuhakiki kitumia simu za wateja weni ( wastaafu)

    PSSSF wanayo App. Mimi naitumia na ninavyoiona ina functions nyingi tu nzuri. Leo tu nimeweza kuhakiki taarifa zangu na wategemezi wangu pamoja na kuangalia michango yangu na kuprint statement ya michango yangu. Inawezekana hiyo function unayoitaka wewe haipo au bado haijaanza kufanya kazi...
  4. N

    Dogo aliacha chuo ili afanye biashara ya forex! Mtaani kumekuwa kugumu anaomba tumsaidie arudi kuanza chuo tena

    Utakuwa ni wewe ndio uliacha chuo ufanye forex. Hebu sema unatokea wapi. Kwenu Kishumundu?
  5. N

    Nilivyo ibiwa kimaajabu

    Hawa watu wanatumia dawa. Kuna dada nilikuwa nimepanga nae nyumba moja wakati nasoma chuo hapa Tanzania, yeye alikuwa anasomeshwa na wazungu wakiwa wanaishi ulaya. Tukiwa mwaka wa 3 chuo alitumiwaga pesa ya ada na kula kama milioni 6. Akaenda kuchukua KCB mlimani city, anapotoka tu akakutana na...
  6. N

    Dogo aliacha chuo ili afanye biashara ya forex! Mtaani kumekuwa kugumu anaomba tumsaidie arudi kuanza chuo tena

    Utakuwa unapenda sana umbea we jamaa. Kuna cha kufundisha watoto wako kuhusu maisha hapo. Kaacha chuo ili afanye forex wakati hiyo forex angeweza kufanya akiwa chuo hapo hapo. Inafanywa online hiyo kitu. Kwenye comments zooooote umeona umbea tu? Acha akili wazi, usiifungie kwenye box la umbea.
  7. N

    Dogo aliacha chuo ili afanye biashara ya forex! Mtaani kumekuwa kugumu anaomba tumsaidie arudi kuanza chuo tena

    Una watu wa kumuongoza mkuu? Muunganishe nao basi. Milioni 2 kumpa mtu akajaribishe kama italiwa au vipi sio poa.
  8. N

    Dogo aliacha chuo ili afanye biashara ya forex! Mtaani kumekuwa kugumu anaomba tumsaidie arudi kuanza chuo tena

    Sikumbuki kama Kuna mahali nimeiponda biashara ya forex. Kuna watu wanafanya na Wana pesa nawafahamu vizuri. Ila Ili kuweza kumaster ukafika level yao si chini ya miaka 3 ya kujifunza kwa vitendo na kwa bidii. Nashauri tu kijana ambaye Yuko chuo na anafanya vizuri asiache chuo Ili akafanye...
  9. N

    Dogo aliacha chuo ili afanye biashara ya forex! Mtaani kumekuwa kugumu anaomba tumsaidie arudi kuanza chuo tena

    Miaka kadhaa iliyopita mtoto (wa kiume) wa shemeji yangu , aliacha chuo akiwa ameshamaliza mwaka wa pili eti anataka kufanya biashara ya forex. (Kipindi hicho hata sielewi ndio wanafanyaje). Ni kwamba, dogo alipotakiwa kwenda chuo hakwenda, nyumbani walipomuuliza akasema chuo amesimamishwa kwa...
  10. N

    Kila kijana ninayemweka dukani anatafuta mwanya kunipiga hata niwajali vipi, nakosa nguvu za kuwaamini vijana wetu hata wa kike

    Jaribu kuajiri watu kutoka nchi zingine. Huwa wanakuwa waoga. Vijana Wabongo wanaendekeza maisha ya kuiga na kupata pesa za haraka. Watakusumbua always.
  11. N

    Msaada, hofu imenitawala sana mpaka usingizi umekuwa wa tabu

    Daaah! Majibu mengine yanatisha sana 😱😱😱
  12. N

    Hongera RITA kwa mfumo mzuri wa online services

    Ni kweli kabisa RITA wanastahili pongezi sana. Natamani taasisi zingine zijifunze RITA.
  13. N

    Kitu gani kilichosababisha kuwepo na binadamu wenye rangi tofauti tofauti?

    Kimuundo hatuko sawa mkuu. Waarabu Wana mapua marefu sana. Wazungu Wana vipua virefu vyembamba. Waafrika mapua mapana halafu fupi. Wachina macho yao yamevimba halafu yako mbalimbali sana. Etc.
  14. N

    Kuna bia za kike na za kiume?

    Tafuta na usome kitabu kinachoitwa THE MANIPULATED MAN. Kitabu hicho kitakueleza vizuri kwanini kazi ngumu ni za wanaume (Na Bible imesema tutakula kwa jasho) na vitu vitamu vitamu ni vya wanawake. Kwa kifupi mwanamke amejiweka kwenye position ambayo anajifanya dhaifu na mwanaume analazimika...
Back
Top Bottom