Niliwahi kuwa na kesi pale Arusha cma wanapenda rushwa kweli ila bahati yao hawakuingia kwenye mtego maana niliwaripoti pccb ila wataingia tu 18 za pccb maana hawana hata aibu wanakula rushwa waziwazi
Mkuu tupo pamoja nawatetea hao CMA kwamba wanafanya kazi mazingira magumu na hata kama wanakura rushwa basi kiwango kidogo sana maana wateja wao wengi ni wa hali ya chini wasioweza toa rushwa ,hao wa Serengeti au maarufu huwa wachache sana
Tatizo CMA imesuswa katibu mkuu anapendelea sana idara ya kazi , jamaa yangu alipata kazi hapo akakacha maana hawaeleweki wanatia huruma ,wamepauka balaa hiyo rushwa ya kula itatoka wapi wakati wateja wao wenyewe ni walinzi wa makampuni na wafanyakazi choka mbaya wa viwanda?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.