Recent content by ndama1285

  1. N

    JamiiForums Tanzania App ya Kikuu ni upuuzi mtupu

    Mimi niliagiza IPad Mini 4. Toka mwezi August mwaka huu hadi. Leo. Nimesumbuana nao sana.kwanza wa poor customer care. Ndio wamenijibu wananifanyia utaratibu wa kunicompasate pesa yangu baada ya siku14 zijazo. Sio poa kabisa hawa jamaa
  2. N

    JamiiForums Tanzania KING'AMUZI CHA AZAM

    Kiukweli kwa muda wa siku tatu sasa eneo la chalinze KING'AMUZI cha Azam limekuwa na hakionyeshi station nyingine zaidi ya Tbc 1. Na nimelipia Kina wiki sasa. Naomba kwa wahusika Kama mtapita hapa basi mjaribu kutujuza Shida ni nini???
  3. N

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kukusanya vyuma chakavu (Scraper)

    Habari wanajamvi, ninaomba kwa mtu yeyote mwenye utaalamu au uzoefu katika biashara ya kununua na kuuza chuma chakavu kwa Dar es salaam na Pwani. Vitu vya msingi zaidi ninavyotarajia kupata kwenu ni upatikanaji wa bidhaa yenyewe,bei za kuuza na kununua. Hasara yake ni ipi,na faida ni ipi...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Msaada plz jinsi ya kupata promo code ya meridian bet kwenye android
Back
Top Bottom