Habari wanajamvi, ninaomba kwa mtu yeyote mwenye utaalamu au uzoefu katika biashara ya kununua na kuuza chuma chakavu kwa Dar es salaam na Pwani. Vitu vya msingi zaidi ninavyotarajia kupata kwenu ni upatikanaji wa bidhaa yenyewe,bei za kuuza na kununua. Hasara yake ni ipi,na faida ni ipi. Ninamtaji wa 15Milioni. Nashukuru na ninawasilisha kwenu. Asanteni