King'amuzi kinachoonyesha TBC tu ni kile ambacho hakijalipiwa,Kiukweli kwa muda wa siku tatu sasa eneo la chalinze KING'AMUZI cha Azam limekuwa na hakionyeshi station nyingine zaidi ya Tbc 1. Na nimelipia Kina wiki sasa. Naomba kwa wahusika Kama mtapita hapa basi mjaribu kutujuza Shida ni nini???