Mimi linijua tu hapo kuna ufisadi mkubwa sana,hawa ccm mda wa kuwawajibisha ni huu make tunaona kwa macho,wameshajua kuwa mda wao wa kukaa madarakani ni mfupi sana ndiyo maana wanafanya wizi wa kufa mtu kama huo,du jamaaani ccm,mgao wa $500 milion wakati hospitali ziko hoi,Shule hazina...
Huyo lazima ni Katibu Mkuu wa Magamba,make siku hizi amekuwa mwoga sana hata huongea na jamii Roho inamsuta kwa kuwaibia mali zao si unajua yeye hanauchungu nazo make siyo Mzawa wa Tanzania..
naomba chadema wafanye mikutano Mtwara na kuwaelewesha vyema wanamtwara ili wasiogope vitisho vya ccm.siyo kweli kuwa mtwara hawataki gas itumike na wengine isipokuwa usindikaji ufanyike mtwara,nilimsikia Nape kwenye mikasi akisema kuwa wakati mwingine inabidi kuwapa uongo wananchi kama...
Kamanda mimi ni wa palepale Kisesa,vipi huyu Andrew Nkumbi anaweza kumshauri mtu mmoja pale anaitwa Dr Laurian Lukona akajiunga na wapiganaji namkubali sana huyu jamaa.asante sana msilanga.
Duuuu,CCM mnaogopa sana watu wanaorudisha kadi mnajua warudisha kadi wengi wao ni ccm,na mtu akirudisha kadi ya ccm siyo rahisi kuturn back tena ccm,tutaendelea kuwahimiza watu wazirudishe hizo kadi kwa wingi na kuzichoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.