Watu mliopo kwenye mfumo hili swala mnalichukuliaga poa sana.... Hoja hapa sio kulipa kodi au kutii sheria bila shuruti..... Tupunguze siasa twende kwenye utekelezaji wa mazingira wezeshi kwa hawa tunaotaka wajiari
Kuna mambo hawa wanasiasa sijui wanatuchukuliaje vijana coz ni aibu mtu ambaye anapambana kwa namna yeyote ile kupata nafasi kisiasa then anasahau kuwa mfumo wezeshi kwa vijana kujifanyia shughuli zao za kujiingizia kipato ndo sababu ya yeye kukimbia taaluma yake.... Waziri mkuu anawezaje...
Kutumia magari yenye namba fake ni uhalifu pia na kuteka ni kosa pia.... Ikiwa hao wanaoitwa WATU WASIOJULIKANA wanawavamia watu na kuwakamata(kuwateka)bila kufuata taratibu,
Je ni kweli jeshi letu la police pamoja na idara ya usalama wa taifa wameshindwa kukabiliana na GENGE hili la...
Nmeona list ndefu humu za wasanii wa muziki wametajwa kwa interest zetu tu.... Ndg zangu muziki ni sanaa km zilivyo sanaa nyingine km uigizaji, sarakasi nk, muziki una aina tofauti tofauti katika uimbaji wake km vile RnB, Hip Hop, dance, taarab nk(kwa hapa kwetu) hivyo tunapoanza kuwa kosoa...
Mzee anapaswa ajue "KILA FARASI ANA KASI YAKE" so kutaka watendaji wafanane kwenye utendaji n by the way kuna utendaji wa kisiasa na utendaji wa kitaaluma
Mara kadhaa kumekua na kauli zenye kuleta mshangao au taharuki miongoni wa Watanzania ambazo zimekua zikitolewa na Viongozi mbalimbali ktk serikali hii ya awamu ya tano, si mkuu wa Nchi wala wateule wake ama watendaji wanaofanya kazi ktk sekta mbalimbali za serikali hii...
Uchunguzi wangu...
Siwalaumu hao madiwani wanajiuza kwa ccm, wala siwalaumu viongozi wa ccm wanaojihusisha na biashara hii ya kitumwa na pia siwalaumu viongozi wa juu wa chadema kwa hali inayoendelea kwa sasa kwa baadhi ya wanachama wake kujiunga ccm kwa sababu ambazo zimekua zikifanana(wanaunga mkono juhudi za mh...
Ni muda sasa kasi ya matukio ya utekaji, uvamizi, vitisho na mauaji pamoja na matukio mengi ya uvunjifu wa amani yameshamiri ktk maeneo mbali mbali ya Nchi yetu.... Na ktk matukio haya kumeibuka msamiati wa "WATU WASIOJULIKANA" na mpaka sasa hakuna taasisi yeyote ya kiusalama ktk nchi yetu...
Mkuu nadhani hukuyasikiliza vyema maelezo ya Nasari, na km uliyasikiliza vyema basi hukuyaelewa..
Tafuta short video ya maelezo yake mtandaoni majibu ya maswali yako yapo wazi kabisa.
Hakuna dhambi mbaya km unafiki kwny maisha.... Na hakuna kitu kibaya km njaa.... Kuna kipindi natamani Mungu atufunulie yaliyo nyuma ya matamshi haya ya Polepole huyu wa sasa, atufunilie na kutuonyesha nyuma ya tambo za ccm kwny uchaguzi huu kuna nn.... Inaogopesha kukubali na kuamini Polepole...
Inasikitisha kuona na kusikia makada wa chama tawala ccm wakipongezana kwa matokeo waliyoyapata ktk kata mbalimbali zilizofanya uchaguzi huu mdogo, huku wakiwakejeli wapinzani bila kujali uvunjwaji wa haki za binadamu pamoja na ukandamizaji wa demokrasia ktk uchaguzi huu.
Toka nikiwa kijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.