Kwa nini ulioa kama ulikua unajiona bado unatamani nje? Achana na matundu ya Nje ambayo yanataka pesa kwanza .
Ulichonacho kula na meo na wato Utazunguka mabucha yote nyama ni ile ile
Uume kusimama saana inawezekana pia ukawa ni ugonjwa unaoitwa PRIAPISIM. Hufanya usimame saana wengine hupona kwa dawa na wengine huhitaji upauaji mdogo ili apone. Nakushauri kama inasumbua sana ni vyema uende hospitali ya karibu kufanya vipimo ili ujue mapema kama uko poa au una...
usiitumie tafadhali hiyo ni kwa ajili ya watotot tuuu
kwni hakunamens nyiginezo kwa kufanyia usafi mpaka hizo wipes?mpkeleke kuoga kabala yatendo nashaur. hapo unakua unatoauchafu nje unauingiza ndan
Wanaa adamu wengine wakohapa kujarbu n walikotoka wanawake zaoau waume zao na kama si hivyo wana anao wapenda
Ataongea vyema hap umb na lak moyoni .
wengine wanatka kuogeza namba ya waliotoka nao na wengine wanatak mtu wa kumpenda hapo ndo shughuli inapoanzia wake za watu wame za watu wapo...
Wanawake wa kuolewa na wanaume wa kuoa pia wapo
Muhimu omba kwa Mungu au mtume ili upate mke mwema.
Unaweza ukamtoa klub baadae akawa mke mwema wwew na marafiki pia familia yake wakashangaa
ni muhimu kumpatia kama akikukuta kwani mnapendana.
Imeandikwa wapi ukija hapa ufanyeunayoyapenda wewe lakini mbele yake ujifanye huyafanyai? Acheni kuja hapa na kutafuta vitu vyaa ajabu . Je wewe ukikuta kaja hapa anatongoza au kutongozwa utafurahi????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.