Mchambuzi wa siasa za Afrika Mashariki, Dkt. Gakere Gathoni amesema demokrasia imetumika kumuondoa madarakani aliyekua Meya wa Jiji la DSM, Isaya Mwita.
Madiwani wa Jiji hilo walipiga kura ya kutokua na Imani na Meya huyo kutokana na kile walichoeleza kuwa ni matumizi mabaya ya ofisi...
Mleta uzi acha kupotosha huyu kijana amekamatwa jana tuu na leo siku ya pili sio wiki mbili kaa unavoongopea wanajamvi..acha kukurupuka huyu kijana ana makosa mengine anayohusishwa nayo hilo cha kushawishi first kujiunga chadema sio kweli halipo umepotosha.
Wakuu salama humu...
Mwenye uelewea na kuweza kunipa makadirio ya gharama ya vifaaa alivoandika fundi hapo anisaidie. Naomba roughly estimation.
Shukran[emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.