Mm nililambwa block ila walinifungulia chamsingi uwe na taarifa sahihi za akaunti Yako Kisha nenda huduma kwa wateja iliyopo twitter account Yao kisha waeleze wape taarifa zako watakufungulia
Omba sehemu unapotaka kuenda wakutumie ila mambo yasiwe mengi toa pesa Tu hapo maana ukitoa hapo hayo maombi ya barua bado watakuomba kiapo cha MTU aliyekuwepo serikalini ivyo huwezi chomoa kwote Toa pesa mambo yasiwe mengi
Tatizo la lock inabidi ujue kampuni ambayo iyo simu imetoka kama AT& T au VERIZONA ukishajua watumie taarifa ya detal ya simu yako kisha subiri majibu mzee
Tatizo la lock inabidi ujue kampuni ambayo iyo simu imetoka kama AT& T au VERIZONA ukishajua watumie taarifa ya detal ya simu yako kisha subiri majibu mzee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.